Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,471
Wale wataalamu wa kukopa na wenye ujuzi wa Bank na Mikopo, habari zenu?
Hivi nikikopa Benki na kila baada ya muda natop up!! Nitakuwa nafaidika au Benki itaninyonya zaidi Mimi?
Je, nikikopa mkopo wa miaka mitano na kusubiri hadi mkopo wote uishe ndiyo nikope nitakuwa na hasara?
Natanguliza shukurani zangu kwenu nyote mtakaotoa ushauri na maoni jenzi?
Hivi nikikopa Benki na kila baada ya muda natop up!! Nitakuwa nafaidika au Benki itaninyonya zaidi Mimi?
Je, nikikopa mkopo wa miaka mitano na kusubiri hadi mkopo wote uishe ndiyo nikope nitakuwa na hasara?
Natanguliza shukurani zangu kwenu nyote mtakaotoa ushauri na maoni jenzi?