Naelewa wazi kwamba masuala ya kuzaa ni Mungu ndiye anapanga, pia naelewa kwamba kuna watalam wamesomea taaluma mbalimbali mfano DAKTARI. Nisaidieni wataalam, hivi mwanamke anapogundua kuwa ni mjamzito, anaaza kuhesabu lini ili ajue atajifungua lini? (ingawa daktari atamuambia matarajio ni lini) hapa tatizo ni lini aanze kuhesabu, coz wakati mwingine mwanamke mjamzito anaweza kupiliza kwa wiki mbili ile tarehe ya matarajio au akajifungua wiki mbili kabla
Nawashukuru wote mtakaonisaidia
Nawashukuru wote mtakaonisaidia