nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,683
- 14,066
Pale ndege inapoanza kupaa hukimbia na kupiga kelele.
Ikianza kupaa kuna hatua inafika kunatokea hali ya ukimya na wakati huo huo inakuwa kama vile inakosa nguvu na kuanza kushuka chini kidogo.
Hapo ndipo itageukia kushoto ama kulia....then ndipo unasikia machine zinanguruma nguvu kuongezeka na kuendelea na safari..
Hii inasababishwa na nini kitaalamu.
Pia wakati wa kutua hali kama hiyo hujitokeza...engine zinakuwa kama zimezimwa yaani unatokea ukimya fulani kwa muda then italala ama kushoto au kulia halafu utasikia engine zikinguruma tena hooo chini chini...usawa wa mnazi....touch down...
Hebu wataalam mtutoe hofu....
Ikianza kupaa kuna hatua inafika kunatokea hali ya ukimya na wakati huo huo inakuwa kama vile inakosa nguvu na kuanza kushuka chini kidogo.
Hapo ndipo itageukia kushoto ama kulia....then ndipo unasikia machine zinanguruma nguvu kuongezeka na kuendelea na safari..
Hii inasababishwa na nini kitaalamu.
Pia wakati wa kutua hali kama hiyo hujitokeza...engine zinakuwa kama zimezimwa yaani unatokea ukimya fulani kwa muda then italala ama kushoto au kulia halafu utasikia engine zikinguruma tena hooo chini chini...usawa wa mnazi....touch down...
Hebu wataalam mtutoe hofu....