Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
sa unashtuka nini kuitwa dear hahahahahahaha
nimekutamanisha?
dear the boss?
nimekutamanisha?
dear the boss?
sa unashtuka nini kuitwa dear hahahahahahaha
wewe mumeo au kaka yako akiitwa dear na mwanaume
hutashtuka?
hahahahahahahahhaha i see sa umejuaje ka billie ni me or ke
inaelekea kakushtua sana lol pole tb
kaka yako dhaifu
naanza kuhisi ni mwanamke au labda......
ngoja atakujibu si yupo bhana
Mi naomba nichangie mambo mawili:
1. Hili si tatizo la ndoa kama ndoa, ni tatizo la uelewa mdogo wa mke wa kaka yako wa namna ya kuihudumia familia yake na mapenzi ya upofu ya kaka yako. Uelewa mdogo na kushindwa kupima uzito wa mambo humpata yeyote aliye kwenye ndoa na asiye kwenye ndoa, hivyo si jema kila baya la ndani ya ndoa lionekana ni tatizo linalosababishwa na ndoa!!! Akili gani ya kumpenda kuhudumia ndugu mpaka unaitesa familia yako mwenyewe?
2. Hapo penye bold ndugu yangu maelezo yako wazi sana kuwa kaka yako haoni taabu na hiyo extended family na mzigo wa kuhudumia hiyo familia. Wewe na ndugu wengine ndo mnaona shida. Mi nakushaurini tu kwa kuwa kaka yako hana taabu ni bora msiiingilie hiyo ndoa, utakuja kuonekana kuwa una chuki na mke wa kaka yako au pengine unataka kubomoa ndoa ya kaka yako. Ndiyo maana mambo mnayomshauri anakwenda kumwambia mkewe mnaanza kuimbiana taarabu ....! Mwache akifunguka akili, atawatafuta yeye mwenyewe!
Kuna wimbo ulikuwa unaimbwa zamani unasema "bibi na bwana wakigombana nyumbani, waache wenyewe mpaka watakapo elewana, lakini usiwangilie eheeee, wakijapatana, utabiki na aibu weee mtoto wa mamaaa"
naanza kuhisi ni mwanamke au labda......
hawa watu wa hili kabila ni kawaida yao kurundikana kwa ndugu na haijarishi huyo ndugu ana kipato cha kutosha au laah.
mimi na shangazi yangu kaolewa kwenye hilo kabila aisee nyumba yake ikiwa na watu wachache mpaka majirani wanashangaa ni watu 15.........ile nyumba inakuwaga na watu 30........tena mwingine anakuja na mke na watoto wake.......yani sijui wakoje.
alaa kumbee sa ilikuwaje ukamshtua tb namna ile we mwanamume khaaaa leo hata lunch sijui kama ana hamu nayo