Wastara aolewa kwa mara ya saba

Wastara aolewa kwa mara ya saba

Yawezekana huyu dada hakubali kuzini; na ndio maana anajaribu kukubali kuolewa badala ya kuzini na hao wanaume wanaoonesha nia ya kuwa nae.

Mwanamke mwenye kujiamini katu hakubali kuliwaliwa kipumbavu nje nje kama hawa wengine akina nanii hii, maana ukimtajia kumpenda na kuonesha nia ya kumhitaji yuko tayari kukukabidhi uke wake, ila kwa huyu dada inaonekana sera zake za mahusiano ni wazi kuwa ukitaka kuwa nae ni lazima umuoe ndio muendelea na maisha.

HEKO DADA MKUBWA, MTAALAMU WA KUWATIA WANAUME WA DAR KWENYE NDOA
 
Yawezekana huyu dada hakubali kuzini; na ndio maana anajaribu kukubali kuolewa badala ya kuzini na hao wanaume wanaoonesha nia ya kuwa nae.

Mwanamke mwenye kujiamini katu hakubali kuliwaliwa kipumbavu nje nje kama hawa wengine akina nanii hii, maana ukimtajia kumpenda na kuonesha nia ya kumhitaji yuko tayari kukukabidhi uke wake, ila kwa huyu dada inaonekana sera zake za mahusiano ni wazi kuwa ukitaka kuwa nae ni lazima umuoe ndio muendelea na maisha.

HEKO DADA MKUBWA, MTAALAMU WA KUWATIA WANAUME WA DAR KWENYE NDOA
Hivi unaijua nguvu ya mkuyenge wewe? kupigwa nao anapigwa nao sana tu,ndio mana hakuolewa akiwa bikra
 
Amani iwe nanyi wapendwa,

Dada yetu Wastara Juma leo amefunga ndoa ya kiislam na kufanya idadi yake ya kuolewa kufika mara saba.

Dada huyo ambaye juzi tumetoka kumchangia pesa za matitabu kaolewa na bwana Rashid.

Wadada wengine wapo tu hawana hata bahati ya kuoelewa mfano Wema Sepetu wakati wengine ndo kama hivyo wanaolewa hadi mara saba.

LONDON BOY
X7 Mfululizo?
 
Amani iwe nanyi wapendwa,

Dada yetu Wastara Juma leo amefunga ndoa ya kiislam na kufanya idadi yake ya kuolewa kufika mara saba.

Dada huyo ambaye juzi tumetoka kumchangia pesa za matitabu kaolewa na bwana Rashid.

Wadada wengine wapo tu hawana hata bahati ya kuoelewa mfano Wema Sepetu wakati wengine ndo kama hivyo wanaolewa hadi mara saba.

LONDON BOY
Mijegede 7 imepita kwenye Tund* moja, walah kuna shida pahala!
 
Huyu alikula pesa za michango Leo anataka achangiwe tena na Watu wale wale?
 
Sasa atakuwa amefikisha mara ngapi?

Juzi kati nilisoma mahali analalamika kanyweshwa soda ya sumu, anaomba serikali imsaidie...

Screenshot_20250519_062700_YouTube.jpg
 
Amani iwe nanyi wapendwa,

Dada yetu Wastara Juma leo amefunga ndoa ya kiislam na kufanya idadi yake ya kuolewa kufika mara saba.

Dada huyo ambaye juzi tumetoka kumchangia pesa za matitabu kaolewa na bwana Rashid.

Wadada wengine wapo tu hawana hata bahati ya kuoelewa mfano Wema Sepetu wakati wengine ndo kama hivyo wanaolewa hadi mara saba.

LONDON BOY
Ndoa au uchangu uliohalalishwa na uislam
 
Yaani wewe MBWA TAKATAKA una chuki isiyojificha na UISLAMU

Hata sehemu isiyohusika na UISLAMU utachomekea tu

Uzuri kwa aliyesoma UISLAMU hapati shida
Heri mimi mbwa kuliko wewe kuuummy. Uislam na ugaidi hakuna mpaka na uchangu wa kuoa na kuacha.
 
Back
Top Bottom