Wastaafu huku mtaani wanalalamika mpaka leo ni Bilabila. Nini Kimetokea?

Wastaafu huku mtaani wanalalamika mpaka leo ni Bilabila. Nini Kimetokea?

Bueno

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2022
Posts
34,610
Reaction score
59,577
Kwa wanaoelewa nini kimetokea maana Wastaafu mpaka leo 26.07.2025 kila wakichungulia vibubu vyao hawaoni kitu wakati kuanzia tarehe 20 vibubu vinakua tayari vimeshajaa. Nini kimetokea huko Hazina?
 
Back
Top Bottom