Kumbe mzee Ndege alishafariki then huyo anakuwaje mke wa mtu?
Shetani naye alikuwa malaika tena mkuu kabla ya kuasi pamoja na majeshi (mapepo & majini) yake.
Mkuu kumbe ana skendo ya kula mpaka hela ya hospital?kweli huyu mzee ni muuaji!me nilikua nadhani kashfa yake kuu ni ya kumpora mzee Ndege mke na kuisambaratisha familia tu,kwa kua hii kashfa naijua wazi wazi,na kwa kutumia cheo chake alitaka kummirikisha hawara wake hiyo ndege insurance,na alileta mkaraganyiko mkubwa sana,kiasi kwamba aliwarubuni watoto wa marehemu kama Amani na Seba wakaweza gawanyika na wengine kuitilafiana!nalijua ili vizuri
Umeniwahi mkuu hata mimi nilitaka kuuliza hivyohivyo!!Mleta hoja tunaomba majibu tafadhari!
Alimchukua huyu mama kabla mzee Ndege hajafariki,mbona hamsomi thread mkaielewa mnarukia kupost tu?na kulikua na sababu gani zee zima kama wassira kumuacha mkewe na kwenda kumpora mke mzee Ndege!
Hakuna kitu kinachomfadhaisha mwanaume kama kuibiwa mke au mpenzi wake hasa kama mwizi anatumia kigezo cha kuwa na mali au wadhifa mkubwa.Jamaa hastahili kutupa tuhuma kwa wengine kwenye majukwaa wakati yeye ana boriti katika jicho lake.
Kuhusu tuhuma za ufisadi na hizo cheap embezzlement zenye kutia aibu siwezi sema sana kwa sababu last time i checked the whole of CCM is corrupt(kuvua magamba slogan) and they acknowledge it.
Warning: 'The mentioned ape is out of control' please report to the nearest zoo or vetenary..(Political Joke)
Mlikuwa wapi siku zote? baada ya yeye kuibuwa sakata la kuliwa fedha za kanisa na Slaa? kwi kwi kwi, teh teh teh.
Mkuu unamaanisha Majini na Mapepo ni Mashetani?? Mbona kuna waungwana wanadai vitabu vyao vinasema eti Majini ni ndugu zao? I mean Majini ni wajomba zao, shemeji zao, wake zao, waume zao na wengine ni Baba zao? Fafanua mkuuShetani naye alikuwa malaika tena mkuu kabla ya kuasi pamoja na majeshi (mapepo & majini) yake.
Kasome tena Mkuu. Shetani hakuwahi kuwa Malaika. Shetani ni shetani tu.
Wasira hasa pepo la ngono....nikimwona nfananisha na chimpanzee.... Mungu nisamehee....
Wana JF mbona ni Wassira huyuhuyu alimpora Mzee Ndege Mke na wanaishi kama Wachumba? Na alijaribu kupeleka mahari Tarime akataliwa kuwa huyo ni mke wa mtu na Wakurya hawapokei Mahari mara mbili?ana usafi Gani kumuongelea DR Slaa wakati ni wasira huyuhuyu akiwa mkuu wa mkoa wa Mara alikula fedha za Hospitali ya Mkoa ambayo haipo hadi leo?,ni Wasira huyuhuyu aliyefanya Mzee ndege kufa kwa presha baada ya Wassira kumpora mke kwa Kigezo cha Uwaziri,ni Wassira huyuhuyu aliyekula fedha za Ndege Insurance na kusababisha kampuni na familia ya Mzee ndege kusambaratika..
Akae kimya aache mchezo uchezwe kwa wana siasa vijana
Mmh hapa mi mgeni
Mmh hapa mi mgeni