Wassira si msafi; achunguzwe!

Wassira si msafi; achunguzwe!

Kwa kuwa anatoka mkoani Mara sikushangaa hilo la kupiga na kutelekeza ila la ufisadi limenishtua sana. Tatizo huyu mkuu alikuwa amepigika kweli baada ya kutumika kama waziri kisha mkuu wa mkoa na kuishia kunyang'anywa ubunge na kuligwa marufuku.kugombea. Sasa aliloona nyota ya jaha akajiapiza kutofany makosa. Watu kama walishatumika na kupumzik waachwe wajipumzishe.
 
Back
Top Bottom