Wassira si msafi; achunguzwe!

Ndege alikuwa diwani wetu na amekufa kwa kale kaugonjwa. Ahhhh nimegundua ndo maana tyson alikimbilia kwa babu samunge kupata kikombeee! Du mbona gati hakwenda? Akina mama wa mjini kitimoto na bia lazima apendeze hata kama ameathirika. Ndo maana mwanae ndese aitwae seba ameshikia bango mambo ya ukimwi ehhhhh!!!!
tafadhali waache watoto nje ya hili,
 
this jamii forum is about people thinking greatly u know about great thigs.I dnt believe tha poaster of this topic wa parraller to our motto.Mweshimiwa wassira life is about him and his family.kwani kua na kampuni haruhusiwi jaman aftaroll sio yy anaeendesha those companies.Mama Ndege a.k.a mama wassira mnamuonea bure jaman yy ni binadam kwani doesnt she need a husband eeeeh???watu mue na cha kuandika kama hamna subilini wenzenu waandike mcomment.........................................................GROW PEOPLE
 
Kingine kuhusu Wassira ni kwamba mwaka jana alipokuwa wizara ya kilimo kabla ya uchaguzi aliletewa VX mpya yenye thamani ya Sh 250 milioni kwa matumizi yake. Alikataa kuitumia.

Baadaye akaletewa VX nyingine lenye thamani ya Sh 350 milioni. Hiyo aliiikubali lakini ile ya kwanza hakurudisha, bado anayo na iunasemekana ndiyo inatoa huduma kwa huyo kimwana.

Chunguzeni habari hizi.
 
real man dont talk bout otha pipos stuffs lyk women.......ts either guys in here hav started bein women.......am a man looking 4 one
 
WAsira hafai anastahili kujiuzuru kwani amefanya unyanyasaji wa kijinsia ukizingatia ameficha hata cheti cha ndoa na kuiba nyaraka rita.

Huyo ni poti bwana. hawa akina poti kuwapiga wake zao ndiyo mapenzi labda hata huyo diwani anaweza kupigwa tu maana huyo jamaa ni POTI!
 
Mnashangaa nini wakati munajua kuwa Mh Tyson anatoka eneo ambalo ukatili wa kijijnsia ndiyo sehemu ya maisha!
 
muhechi, huyu ndio nani mwennye gwanda la kijani anayehutubia?

anaitwa Abdallah Majura Bulembo, rafiki wa mama huyu au tuseme laaziz mario wa huyu mama kupunguza punguza upweke..siunajua mjini mura..alitumia sana pesa yake pengine na ya Mhe. Wassira ile wote yeye na Bulembo wawe madiwani Wilaya ya kinondoni kuchukua nafasi ya Mhe. Omari Yusuph Kimbau ambae nae alibwagwa kama huyu Bulembo ktk ubunge jimbo mafia.. Kuna swali lingine mura? Tanzania siri No No?
 
this jamii forum is about people thinking greatly u know about great thigs.I dnt believe tha poaster of this topic wa parraller to our motto.Mweshimiwa wassira life is about him and his family.kwani kua na kampuni haruhusiwi jaman aftaroll sio yy anaeendesha those companies.Mama Ndege a.k.a mama wassira mnamuonea bure jaman yy ni binadam kwani doesnt she need a husband eeeeh???watu mue na cha kuandika kama hamna subilini wenzenu waandike mcomment.........................................................GROW PEOPLE
Weee BLANDES
real man dont talk bout otha pipos stuffs lyk women.......ts either guys in here hav started bein women.......am a man looking 4 one
Weee BLAZE
let tha woman liv ha life u pipo au na nyie mnamtaka wassira??????

Wewe si BLAZE NDEGE Wewe, Mdogo wake Dr. Sebastian Ndege uko UDOM? BLANDE kimjini sio.. Anyway, I think ni wewe BLAZE...BLA= BLAZE, NDE= NDEGE...nimelewa.

Sasa Ungejitambulisha mura, (DECLARE INTEREST JF) ikufahamu kuwa Wassira ni Baba Yako siku hizi na Mama yako (Mama Florence Gati Ndege, ingawa mwanaume kwetu hapana Mama kuwa tena a.k.a yaani (also known as) Mama Wassira..Mshauri Mama Mambo haya, asiwe fisadi, ajiheshimu TZ ya leo haina Siri, alafu Mwisho akina Seba ni kaka zako (baba mmoja) sio vizur Mama yenu kubeba Mali zoooote za Marehemu baba yenu Mzee Ndege kibabe sababu eti Wassira atakinga kifua.. Sio vizuri anavyofanya Mama Yako..Unaona sasa..Kumbuka Mura, Damu nzito kuliko Maji..haya
 
Haya hayawezi kuwa mambo binafsi kwa kuwa yanahusisha value za watu wetu. hivi tunawafundisha nini watoto wetu kama tutabaki kukumbatia viongozi wasio na maadili? Huyu bwana sijui anajiamini nini. Inasemekana tangu arudi kwenye awamu hii ameiba gari la serikali lenye thamani ya zaidi ya 250m alilopelekewa akalikataa lakini hakulirudisha na akapelekewa lingine tena la 350m. HaHii story tunayohapa habari lakini kwa kujipendekeza Bashe kaizuia isitoke, na kama kawaida yetu waandishi njaa tumenywea hata kwa kampuni inayotukopa mishahara. Mchezo huu unafanywa na viongozi wengi sana kutumia kodi zetu kuwapa anasa wake na watoto zao. Hivi unafahamu kwamba zaidi ya 50% ya mishahara na mapato yetu yanachukuliwa kama kodi? Kodi hii inayotumiwa na kikwete na maswahiba wake kutanua. Heb tuulizieni wasira juu ya magari haya. Eti wa mahusiano asante kikwete program mkishakua na kiongozi kilaza ni kazi kweli kweli. Ndio maana tunakubali kwamba 2015 ni mbali sana, tumepigika vya kutosha. Huyo mama mwenye tamaa alimtaka wasira kwa pesa za Ndege, luckily wakina Seba wakamshughulikia fairly, yaani shangingi aje kuchakachuliwa kwenye kitanda cha baba yako, hapo ndio nampa heshima zote seba, hayo ndio mnayaita mambo binafsi? hivi mtaanza lini kuwa serious?
 
Haya hayawezi kuwa mambo binafsi kwa kuwa yanahusisha value za watu wetu. hivi tunawafundisha nini watoto wetu kama tutabaki kukumbatia viongozi wasio na maadili? Huyu bwana sijui anajiamini nini. Inasemekana tangu arudi kwenye awamu hii ameiba gari la serikali lenye thamani ya zaidi ya 250m alilopelekewa akalikataa lakini hakulirudisha na akapelekewa lingine tena la 350m. HaHii story tunayohapa habari lakini kwa kujipendekeza Bashe kaizuia isitoke, na kama kawaida yetu waandishi njaa tumenywea hata kwa kampuni inayotukopa mishahara. Mchezo huu unafanywa na viongozi wengi sana kutumia kodi zetu kuwapa anasa wake na watoto zao. Hivi unafahamu kwamba zaidi ya 50% ya mishahara na mapato yetu yanachukuliwa kama kodi? Kodi hii inayotumiwa na kikwete na maswahiba wake kutanua. Heb tuulizieni wasira juu ya magari haya. Eti wa mahusiano asante kikwete program mkishakua na kiongozi kilaza ni kazi kweli kweli. Ndio maana tunakubali kwamba 2015 ni mbali sana, tumepigika vya kutosha. Huyo mama mwenye tamaa alimtaka wasira kwa pesa za Ndege, luckily wakina Seba wakamshughulikia fairly, yaani shangingi aje kuchakachuliwa kwenye kitanda cha baba yako, hapo ndio nampa heshima zote seba, hayo ndio mnayaita mambo binafsi? hivi mtaanza lini kuwa serious?
Jamani huyu Mama!! Huyu Mama Ndege/Wassira sio Diwani Mwananyamala msimpandishe chati..Huyu Mama ni TAPELI/MWIZI, Hivi nimeshangaa anazungunzwa mpaka humu nikaguswa nichangie kwa mara ya kwanza JF..Aah, Siwezi kuongea sana sababu sisi tuko nae MAHAKAMANI, Kapora Viwanja vya Vilema alafu kisha akavamia na Shamba la Mume wangu Madale akidai lake, maeneo karibu na kwa KAWAWA..Hana Haya, nyarakati zake magumashi alafu anahonga kweli wapi, Mungu Yupo...Yaani anajulikana ndio tabia yake...Jamani huyu..nimeshangaa tamaa hizi eti viongozi..yaani
 
si lazima utumie hiyo lugha ndio ueleweke, unaharibu lugha za watu..hata hivyo, kama ww umetumwa JF kuwatetea japo pasipo kutumia hoja zaidi ya kuwapiga watu mkwara hapa sio penyewe. Re READ YOUR TEXT. Mkuki moyoni.
 
Wana JF mbona ni Wassira huyuhuyu alimpora Mzee Ndege Mke na wanaishi kama Wachumba? Na alijaribu kupeleka mahari Tarime akataliwa kuwa huyo ni mke wa mtu na Wakurya hawapokei Mahari mara mbili?

Ana usafi Gani kumuongelea DR Slaa wakati ni wasira huyuhuyu akiwa mkuu wa mkoa wa Mara alikula fedha za Hospitali ya Mkoa ambayo haipo hadi leo? Ni Wasira huyuhuyu aliyefanya Mzee ndege kufa kwa presha baada ya Wassira kumpora mke kwa Kigezo cha Uwaziri,ni Wassira huyuhuyu aliyekula fedha za Ndege Insurance na kusababisha kampuni na familia ya Mzee ndege kusambaratika.

Akae kimya aache mchezo uchezwe kwa wana siasa vijana
 
Back
Top Bottom