Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,872
Tuhuma za matairi vipi?
Tuhuma za matairi vipi?
Pamoja nyadhifa mbalimbali alizoshika serikali, huyu Wassira amelifanyia nini taifa hili kiasi cha kufanya watanzania wamkumbuke?
wazee wengne wangepumzika tu.
tokea enzi za Nyerere, Mkapa, Mwinyi, Kikwete bado tu wapo ktk madaraka...
Mkuu ukifanya vitu vichache ni rahisi kukumbuka kuliko aliefanya mengi nadhan WASIRA Kafanya mengi
Hayo mengi aliyofanya ni yepi????
Hana jipya huyo, kwanza hauziki kimataifa.
Waziri wa Kilimo CHAKULA na Ushirika Mhe. Stephen MASATO WASIRA Amesema kuwa Yote yasemwayo kuhusu mchakato wa kugombea Urais ni ukweli mtupu.
Waziri huyo wa Kilimo alienda mbali kwa kusema kugombea urais sio dhambi cha msingi ni kuwaeleza WATANZANIA KUWA Kwa nini unadhani unastahili kugombea na Ajenda zitakazo jibu matatizo ya Watanzania na sio kushabikia watu kwa muonekano Wao pasipo kuangalia vipaumbele vinavyogusa wananchi
Kwa sasa amesema anasubiri mda waruhusiwe na kamati ya maadili baada ya kupewa onyo na chama chake
Swali langu hivi uongozi ni utashi wa mtu au mwonekano wa MTU?View attachment 231574
Ana historia ya kuhama chama? alipoenda upinzani alikizungumziaje chama chake akiwa upinzani, na jee akinyimwa fursa hiyo anaweza kuhama tena kwenda chama kingine kitakachompa fursa ya kugombea?
Koti lilikua lake au la Nchi?Muacheni agombee maana kule anafikiri anaenda kuongoza kuku.Kama anashindwa kufunga vifungo vya koti tu akiwa rais c atatutia aibu tu. Akagombee urais wa ukoo wao
Huyu mzee alishalalaga kunako kikao hii nadhan itatumika kama silaa ya maangamiziKoti lilikua lake au la Nchi?
Mkuu ukifanya vitu vichache ni rahisi kukumbuka kuliko aliefanya mengi nadhan WASIRA Kafanya mengi
Hajawahi kufanya kazi na mkapa fuatilia Historia yake vizuri
Hata kama hakuwahi kufanya kazi na Mkapa, kuongoza nchi sio masihara. Wasira hana innovative thinking na ushawishi kuweza kuleta mabadiliko chanya kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu. Tumepoteza miaka kumi na Kikwete inatosha.