Wassira: Nitagombea urais 2015

Wassira: Nitagombea urais 2015

Umesema yote

Wasira ni laana kwa taifa

Akaongoze Sokwe huko

Unaonaje ukaenda kumwomba mama yako akuonyeshe ulipoyokea mkuu alafu ndo uje tena pole sana kwa maneno makali lakini Ndio Dunia sina budi kukufundisha
 
ama kweli ccm ni chaka la waongo, kigwangalla-kaombwa, makamba-kaombwa, mwigulu-kaombwa, sumaye-kaombwa, pinda-kaombwa na wassira nae kaombwa, ni wananchi wepi hao? Mnakera

ni kweli kaombwa kwani unaweza kuombwa hata na mtu mmoja ye akasema nmeombwa kwakua kuombwa hakuna idadi maalumu
 
Mwaka 1995 hakutumia mda wake kukashifu CCM zaidi yeye alijikita kupambana na Warioba. Umri so kigezo cha kumfanya asiwe Rais angalia viongozi wengi Wa bara LA Afrika karibia wrote wanazaidi ya miaka 70 kwa Afya mzee Wasira analipa sana

Kwenye ule mjengo mkubwa namna ile ambao unahudhuriwa na wapiga kelele wengi kiasi kile ameweza kuuchapa usingizi kiasi kile, Ikulu itakuwaje?
 
Kwenye ule mjengo mkubwa namna ile ambao unahudhuriwa na wapiga kelele wengi kiasi kile ameweza kuuchapa usingizi kiasi kile, Ikulu itakuwaje?
Acha wivu wa kike, nenda kapike.
 
Kuhama chama si tatizo ni kutofautiana mtazamo au kudhurumiwa haki na yeye anadai alidhurumiwa haki yake ndani ya CCM kwa kipindi kile ndio maana wana CCM WALEWALE waliodhurumiwa Mgombea wa wakamchagua

Bila shaka wewe nakufahamu fika... Hongera kwa harakati Ras Kisuse
 
Last edited by a moderator:
Kwenye ule mjengo mkubwa namna ile ambao unahudhuriwa na wapiga kelele wengi kiasi kile ameweza kuuchapa usingizi kiasi kile, Ikulu itakuwaje?

Ndo ushangae na wewe sasa! Mzee kaunyuka usingizi mle utadhani yupo kwake,tena usiku wa manane.

Nadiriki kusema kuwa, WASIRA ni Boya kabisa.
MpendaTz
 
Last edited by a moderator:
Kwenye ule mjengo mkubwa namna ile ambao unahudhuriwa na wapiga kelele wengi kiasi kile ameweza kuuchapa usingizi kiasi kile, Ikulu itakuwaje?

Kiyoyozi cha mule kinabembeleza kimya kimya sio kama vya huku mitaani kwetu vinapiga kelele.
 
Kwenye ule mjengo mkubwa namna ile ambao unahudhuriwa na wapiga kelele wengi kiasi kile ameweza kuuchapa usingizi kiasi kile, Ikulu itakuwaje?

usimkosee MUNGU wako kijana wote sisi ni matokeo ya mungu hauziki ki VIPi?[/QUOTE

Kwani wewe umeelewa kivipi hadi umetaka kunihukumu???????
Nnmemaanisha hana sera inayouzika kimataifa. upo hapo??

kimsingi huyu mzee mi simkubali kabisaaa.

nimependa sana wana JF wengi kwenye huu uzi wako positive , ni mmoja nimeona amesema mzee amechoka analala bungeni ila sijaona aliesema mzee hayuko makini anafunga koti WASSIRA STAILI, i like to be honest to myself, mzee hayuko makini kufunga koti atakuwa makini na URAIS? ataweza kubeba watz millioni 47 kichwani? amuulize JK!

Kiyoyozi cha mule kinabembeleza kimya kimya sio kama vya huku mitaani kwetu vinapiga kelele.
Nawashangaa sana nyie Vijana, kazi kubwa mnayoifanya hapa JF ni kupinga Kila kitu. Hata wakati JK anaingia mara ya Pili 2010 mlimshambulia na kutukana, lakini leo anamalizia Muhula wake wa Pili taratibu bila shaka. Mmekuwa kama Chiriku kuiga kila sauti ilimradi tu muonekane mnapinga, Hoja juu ya Viongozi wengi hasa walioko CCM no negative kila siku. Hata Wassira ambae tunamjua kabisa kuwa sio Mwizi na kiongozi mwenye msimamo thabiti mnambeza!!!???
Nadhani kuna umuhimu wa ninyi kubadili mtazamo katika maeneo fulani hasa yanapokuja maslahi ya Nchi. Lasivyo mtapiga kelele saaana mwisho anakuwa Rais mkaishia kuaibika na kunung'unika miaka 10 mingine.

Badilisheni Mtazamo. Tovuti rasmi ya Stephen M. Wasira
 
Huyu Mzee vipi? uraisi? anataka kuja kutufia ikulu? Kwani hana wajukuu akacheze nao? hapana ni muda wa kwenda kutulia home kwake nguvu za kukimbia hana tena!
 
Mhh itanichukua muda kumuelewa tunazungumzia urais yy anakuja na swala la muonekano wengi wa umri wake walipata kazi bila usaili ni vyeti tuu, ssa usaili wa rais majibu tofauti kabisa na tuendelee kumjadili? tutapata mtu mwenye uwezo tuendelee kusubiri,aendelee na ubunge asije akakosa vyoote.
 
wasira now ni waziri wa kilimo,chakula na ushirika bhana mbona hamwi update!!!
 
Back
Top Bottom