Joss
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 765
- 191
Yaani habari umeileta wewe halafu umeshindwa kuing'amua.
Wakati alipovamiwa na kupigwa ndugu Kibanda, ni huyuhuyu wasira alihoji kuwa Kibanda ananini cha kuifanya serikali imdhuru, na kwa hili la Arusha anarudia kauli hii hii, hapo unashidwa kujua kuwa anakiri kuwa serikali huwa inawadhuru watu wanaoisumbua?
Wakati alipovamiwa na kupigwa ndugu Kibanda, ni huyuhuyu wasira alihoji kuwa Kibanda ananini cha kuifanya serikali imdhuru, na kwa hili la Arusha anarudia kauli hii hii, hapo unashidwa kujua kuwa anakiri kuwa serikali huwa inawadhuru watu wanaoisumbua?