Try to Indoctrinate other fools who have lowest IQ like yours....Mkuu usilazimishe!
Nguli wa siasa nchini mhe. Wassira leo katika mahojiano ya kipindi cha jambo leo amemjibu Mbowe kufuatia kauli yake ya serikali kuhusika na mashambulizi ya kutaka kumuua.
Amehoji mzee Wassira kuwa, "Mbowe ana nini kuifanya serikali imtafute?", hapa pia aliongeza yafuatayo, "Mbowe huyu huyu kwenye uchaguzi wa urais 2005 alipata kura 600 nchi nzima, sasa ana nini cha kutafutwa?".
Mzee Wassira pia alisisitiza, "Mbowe huna kitu chochote cha kuifanya serikali ikutafute, hivyo uache kuwahadaa watanzania kwa kauli zako za uchochezi, kwani hazina tija."
My take;
Mbowe umekurupuka kutoa kauli ya kipuuzi kuihusisha serikali na suala la mlipuko Arusha, jifunze kuwa kiongozi mwenye subira na hekima, haya mambo ya porojo waachie BAVICHA ila wewe kwa nyadhifa yako una jidhalilisha.
Nguli wa siasa nchini mhe. Wassira leo katika mahojiano ya kipindi cha jambo leo amemjibu Mbowe kufuatia kauli yake ya serikali kuhusika na mashambulizi ya kutaka kumuua.
Amehoji mzee Wassira kuwa, "Mbowe ana nini kuifanya serikali imtafute?", hapa pia aliongeza yafuatayo, "Mbowe huyu huyu kwenye uchaguzi wa urais 2005 alipata kura 600 nchi nzima, sasa ana nini cha kutafutwa?".
Mzee Wassira pia alisisitiza, "Mbowe huna kitu chochote cha kuifanya serikali ikutafute, hivyo uache kuwahadaa watanzania kwa kauli zako za uchochezi, kwani hazina tija."
My take;
Mbowe umekurupuka kutoa kauli ya kipuuzi kuihusisha serikali na suala la mlipuko Arusha, jifunze kuwa kiongozi mwenye subira na hekima, haya mambo ya porojo waachie BAVICHA ila wewe kwa nyadhifa yako una jidhalilisha.
Wasira sijui kama anaakili..hajui mbowe ana nini?ndo maana kafanana na naniliiii
Amehoji mzee Wassira kuwa, "Mbowe ana nini kuifanya serikali imtafute?", hapa pia aliongeza yafuatayo, "Mbowe huyu huyu kwenye uchaguzi wa urais 2005 alipata kura 600 nchi nzima, sasa ana nini cha kutafutwa?"..
Candidates | Nominating parties | Votes | % |
---|---|---|---|
Jakaya Mrisho Kikwete | Chama Cha Mapinduzi (Revolutionary Party) | 9,123,952 | 80.28 |
Ibrahim Lipumba | Civic United Front (Chama Cha Wananchi) | 1,327,125 | 11.68 |
Freeman Mbowe | Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Party for Democracy and Progress) | 668,756 | 5.88 |
Augustine Mrema | Tanzania Labour Party | 84,901 | 0.75 |
Sengondo Mvungi | National Convention for Construction and Reform-Mageuzi | 55,819 | 0.49 |
Christopher Mtikila | Democratic Party | 31,083 | 0.27 |
Emmanuel Makaidi | National League for Democracy | 21,574 | 0.19 |
Anna Senkoro | Progressive Party of Tanzania-Maendeleo | 18,783 | 0.17 |
Leonard Shayo | Demokrasia Makini | 17,070 | 0.15 |
Paul Henry Kyara | Sauti ya Umma | 16,414 | 0.14 |
Total Votes | 11,365,477 | 100.00 | |
Voter Turnout | 72.4% |
Kah!akili nyingine hizi kazi kwelikweli!!!hapo ndo umeona wassira kaongea la maana saana!!Nguli wa siasa nchini mhe. Wassira leo katika mahojiano ya kipindi cha jambo leo amemjibu Mbowe kufuatia kauli yake ya serikali kuhusika na mashambulizi ya kutaka kumuua.
Amehoji mzee Wassira kuwa, "Mbowe ana nini kuifanya serikali imtafute?", hapa pia aliongeza yafuatayo, "Mbowe huyu huyu kwenye uchaguzi wa urais 2005 alipata kura 600 nchi nzima, sasa ana nini cha kutafutwa?".
Mzee Wassira pia alisisitiza, "Mbowe huna kitu chochote cha kuifanya serikali ikutafute, hivyo uache kuwahadaa watanzania kwa kauli zako za uchochezi, kwani hazina tija."
My take;
Mbowe umekurupuka kutoa kauli ya kipuuzi kuihusisha serikali na suala la mlipuko Arusha, jifunze kuwa kiongozi mwenye subira na hekima, haya mambo ya porojo waachie BAVICHA ila wewe kwa nyadhifa yako una jidhalilisha.
'comment on red' Acha
kutumika wakati ndugu zako wanakufa, ole wao wanafiki maana kwayo
watahukumiwa.
Wasira sijui kama anaakili..hajui mbowe ana nini?ndo maana kafanana na naniliiii
Nguli wa siasa nchini mhe. Wassira leo katika mahojiano ya kipindi cha jambo leo amemjibu Mbowe kufuatia kauli yake ya serikali kuhusika na mashambulizi ya kutaka kumuua.
Amehoji mzee Wassira kuwa, "Mbowe ana nini kuifanya serikali imtafute?", hapa pia aliongeza yafuatayo, "Mbowe huyu huyu kwenye uchaguzi wa urais 2005 alipata kura 600 nchi nzima, sasa ana nini cha kutafutwa?".
Mzee Wassira pia alisisitiza, "Mbowe huna kitu chochote cha kuifanya serikali ikutafute, hivyo uache kuwahadaa watanzania kwa kauli zako za uchochezi, kwani hazina tija."
My take;
Mbowe umekurupuka kutoa kauli ya kipuuzi kuihusisha serikali na suala la mlipuko Arusha, jifunze kuwa kiongozi mwenye subira na hekima, haya mambo ya porojo waachie BAVICHA ila wewe kwa nyadhifa yako una jidhalilisha.