Wassira: Atibua mitandao Urais 2015

Wassira: Atibua mitandao Urais 2015

Nchi imepata hasara sana hii,sasa mtu kama wasira anauwazia urais kwa weledi upi alionao??
Kama Chenge anateuliwa kuongoza kamati nyeti ya Bunge ni kwa nini Wassira asiuwaze Urais? kwenye kura za NEC za CCM Wassira ndiye aliongoza kwa kura.

Wonders shall never end. mwisho wa CCM umefika wacha wakilete kituko chochote lakini ni lazima wang'oke hata kwa Military operation.
 
This is a total abuse.Tusijione wazuri sana mpaka tufikie hatua ya kumtukana mwenzetu.
Ni muhogo mchungu kwako lakini inabidi uumeze tu haya fumba macho si unaona umeisha meza teh,teh,teh pale UN nani ana sura ya kutisha kama yeye???kwi,kwi,kwiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
wassira anakubalika ccm. ktk uchaguzi wa wajumbe wa halmashauri ya nec kule Dodoma, alishinda kwa kishindo. alikua namba moja. lowassa hakubaliki kama wassira. wassira hana kashfa yoyote ya ufisadi. nadhani akitumbukiza kete anaweza kubeba bendera ya ccm 2015. tatizo lake ni mkali lkn wakti mwengine nchi inahitaji mtu kama yeye. vile siyo mwizi, basi wezi wataogopa. tatizo lake linguine ni kwamba anachukia upinzania kupindukia. anaomba kusiwe na chama cha upinzani tz. on my side naona ni mtu mwenye ueledi
Stephen_WASSIRA.jpg
 
Hakuna lolote hapo wez hawafukuzan bt wanashrikiana il kulinda uhun wao
 
Kigazeti cha udaku. Wasira hana influence hata kwao Bunda, ndiyo itakuwa kanda ya ziwa?
 
Wasira ni janga la taifa- public enemy namba one. Ni archtect wa siara hatari za udini, ukabila na ukanda na matusi ya nguoni. Ndie Godfather wa akina Mwigulu, na yule mbunge mwenye maneno machafu wa Mtera (sijui anaitwa Lusinde? sijui). Kumpa nchi mtu kama huyu ni kutarisha hatma na mustakabali mzima wa nchi yetu...anaweza akaleta siasa za Misri za akina Mursi tukaishia jeshi kuchukua nchi. Ashindwe na alegee!!
 
Time will tell and at times it is best to invest in it.
Let patience take its course. Too early to say anything now.
As for how person looks I would simply say performance has no face.
 
wassira anakubalika ccm. ktk uchaguzi wa wajumbe wa halmashauri ya nec kule Dodoma, alishinda kwa kishindo. alikua namba moja. lowassa hakubaliki kama wassira. wassira hana kashfa yoyote ya ufisadi. nadhani akitumbukiza kete anaweza kubeba bendera ya ccm 2015. tatizo lake ni mkali lkn wakti mwengine nchi inahitaji mtu kama yeye. vile siyo mwizi, basi wezi wataogopa. tatizo lake linguine ni kwamba anachukia upinzania kupindukia. anaomba kusiwe na chama cha upinzani tz. on my side naona ni mtu mwenye ueledi
Stephen_WASSIRA.jpg
Kwa hiyo kwako wewe kuchukia Upinzani na kutotaka kusiwe na chama cha Upinzani ndio Weledi? Haki ya mbongo, kweli nchi iko safarini kwenda kuzimu.
 
Wakati mwingine Watanzania wenzangu huwa atutafakali kwa kina matukio fulani fulani! Siku za nyuma nuliwahi kuhuliza swali dogo, nilisema hivi " Kwa nini Mzee Wassira alipigiwa kura nyingi pale Kizotta kuwazidi Mh.Dk JK na Mh.Dk Shein??" Kwa akili za kawaida kulikuwa na ulazima gani wa yeye kupigiwa ndio kura zote, wakati wenzake kuna kura ziliwakataa!! Mzee Wassira hata angepata nusu ya kura angeweza kuchaguliwa tu kwenye kamati kuu, sasa hii landslide ilikuwa inahashiria nini siku za usoni? Alitumia mbinu gani kuwapiku wenzake wote pale ukumbini. Je kampeini alifanya saa ngapi wakati muda wote alionekana ametulia kwenye kiti chake hana papala wala wasi wasi. Nikiona baadhi ya wana JF wanambeza beza nawashangaa sana, mimi sio mtume wala nabii lakini nina uhakika kwamba kadiri siku zinavyo sogea karibu na kampeini/Uchaguzi 2015 Mzee Wassira atawashangaza wengi. Hajatangaza nia, lakini nionavyo mimi it's a question of TIME.
 
Kweli nimeamini Nyani haoni kundule, hivi urais ni sura au Performance?
Mbona kuna Mahandsome serikalini na bado mnasema Nchi imewashinda na Serikali ni Dhaifu.
"Tunataaka mtu atakaye sema sitaki Rushwa hata sura yake inaonyesha"-JK Nyerere.
Wasira ni Mwanafunzi wa Mwalimu Nyerere he may predictably bring Moral changes to this damaged country.

i may concur with you in the first and second sentence but not the last one simply b'se he has failed to do so at this moment.
 
Wasira hana scandal za ufisadi.Hata hivyo ana allerge na upinzani.Kwa hiyo kama wakimpitisha kugombea! Atakuwa anaiwaza CHADEMA wakati wote na huenda hata akaisahau kabisa ilani ya CCM Kutokana na vile upinzani unavyomvuruga akili yake.Tehe! tehe!
 
Uzuri wa Wassira akiwa rais hatakuwa na safari nyingi kama kikwete, badala yake atakaa ikulu kuwapokea wageni watakaomtembelea ikulu.
Ieleweke kuwa safari za kumtembelea Wassira ikulu itakuwa sehemu ya utalii, hivyo nchi itaingiza fedha nyingi za kigeni
 
This is a total abuse.Tusijione wazuri sana mpaka tufikie hatua ya kumtukana mwenzetu.
Mbona masoud sura mbaya au dokta remmy hakunyanyapaliwa?jiulize kilichoko ndani ya wasira mpaka inakuwa hivi....
 
Nyie watu mna masihara sana eeh, Mnamaanisha hivyo hasa Stephene Wassira ndo anautaka Urais!!!!!!!, Tanzania imekufa kabisa. Kwa historia ipi inayompa kiburi hicho?
 
Kwa hiyo kwako wewe kuchukia Upinzani na kutotaka kusiwe na chama cha Upinzani ndio Weledi? Haki ya mbongo, kweli nchi iko safarini kwenda kuzimu.

inaelekea uwezo wako wa kusoma makala na kuielewa ni mdogo. nimeandika kuwa "tatizo lake linguine ni kuwa hapendi upinzani." nimeliita tatizo. kasome tena makala yangu. nimemalizia kwa kusema hata hivyo ni mtu mwenye ueledi. licha ya kasoro zake, uwezo kiutendaji anao. kosa langu ni lipi? kusema ana ueledi?
 
inaelekea uwezo wako wa kusoma makala na kuielewa ni mdogo. nimeandika kuwa "tatizo lake linguine ni kuwa hapendi upinzani." nimeliita tatizo. kasome tena makala yangu. nimemalizia kwa kusema hata hivyo ni mtu mwenye ueledi. licha ya kasoro zake, uwezo kiutendaji anao. kosa langu ni lipi? kusema ana ueledi?
Kwa tatizo hilo la kutopenda upinzani tayari hana weledi wakuwa kiongozi. Kipi hakieleweki? Kiongozi asiyependa upinzani(fikra mbadala) utasemaje ana weledi?
 
Kama Chenge anateuliwa kuongoza kamati nyeti ya Bunge ni kwa nini Wassira asiuwaze Urais? kwenye kura za NEC za CCM Wassira ndiye aliongoza kwa kura.

Wonders shall never end. mwisho wa CCM umefika wacha wakilete kituko chochote lakini ni lazima wang'oke hata kwa Military operation.
military operations! tehtehteh! dogo mtu mzima usimtishie nyau
 
Kwa tatizo hilo la kutopenda upinzani tayari hana weledi wakuwa kiongozi. Kipi hakieleweki? Kiongozi asiyependa upinzani(fikra mbadala) utasemaje ana weledi?

kama usivyo wapenda akina nap, kinana, mwigulu, wassira , jk na wengineo, usitegemee kitu tofauti kutoka kwao. au hujui maana ya siasa?
 
Back
Top Bottom