Wassira: Atibua mitandao Urais 2015

Wassira: Atibua mitandao Urais 2015

Mh jamani! na mi ngoja nitangaze nia ya kugombea uraisi kupitia kwenye chama changu CHICHIEM!!!!!!!!!!!!!!! yaani kwenye chama changu ukiwa karibu na mhishimiwa mkuu wa kaya uraisi nje nje wajameni!!!!
 
CCM kweli kazi mnayo ila sie wa upande mwingine hatuna haja ya kuwasemea make huku kwetu tunasubiri muda ufike alafu tukamnyanyue raisi wetu kipenzi
 
Siwezi pata picha rais wassira, mtu huyu hapana, kweli hapana, CCM, NCCR, CCM, Bunda Ubunge, No waassira NOOOOOO
 
Siwezi pata picha rais wassira, mtu huyu hapana, kweli hapana, CCM, NCCR, CCM, Bunda Ubunge, No waassira NOOOOOO

Kwanini unawaza hivyo?
Je akiwa wewe utafanyeje?
Je hujui uongozi ni karama na ni baraka toka kwa Mungu?
Siku anaapishwa wewe utazima Tv?

Toa argument sio Nooo, sio jibu la Great Thinker! Give facts beyond reasonable doubt.
Majority say The Man deserves the POST.
 
Huyu jamaa mbona yuko sawa.

Ndg. Stephen masato wasira.
 
Siwezi pata picha rais wassira, mtu huyu hapana, kweli hapana, CCM, NCCR, CCM, Bunda Ubunge, No waassira NOOOOOO

Hapo umeongea nini, mbona kama sijakuelewa, JF inabeba mpaka vichaa. hapa sio FB.
You need
:help::help:.
 
Mh jamani! na mi ngoja nitangaze nia ya kugombea uraisi kupitia kwenye chama changu CHICHIEM!!!!!!!!!!!!!!! yaani kwenye chama changu ukiwa karibu na mhishimiwa mkuu wa kaya uraisi nje nje wajameni!!!!

Slaa akifa leo au kupata maradhi Chadema haitakuwa na mgombea? Hapo ndipo sifa ya chama hicho inapolazimishwa kupelekwa likizo.
Poor democracy in a democractic part.
 
Hahaha hahaha hahaha uwiiii mama toto mbavu zangu hahaha

lupe acha kushabikia upuuzi, huyo binti hajui anachokiandika.
Anahitaji msaada wako ili akue kiakili na kimwili.
 
Haya nenda naye kwenye lile pori lililopo kigoma ukanywe nae chai wewe gamba

OOOhhh!! Mama Watoto hapo umekurupuka, bila shaka ukiabishwa wewe huishi kumkimbilia Mama Nkya akusaidie kuwa umefedheheshwa, sasa usirudie tena kufanya mzaha na Viongozi wako, hasa Wasira ambaye kwa nafasi kubwa anaweza kuwa Rais wako 2015.
Ukirudia tutamshauri Mods upewe..
:ban::ban:

umeelewa Mama Watoto?
 
Hapo umeongea nini, mbona kama sijakuelewa, JF inabeba mpaka vichaa. hapa sio FB.
You need
:help::help:.
You are ability to understand when i write does not concern me in any way, You should have asked your mother to teach you shortcodes, if your teachers were not capable of teaching this.
 
kaza moyo ni majina ya watu wanaoishi kwa matumaini.
Vp cd4 zimepungua? Usiache dozi.

unaweza kuwa hukufikiri,humu jf wapo watu mbalimbali wengine ni waathirika hivyo usiongee kwa kejel siku yakikukuta ww hutataman kuingia jf.
 
Ipo siku hawa manyang'au na mijizi ccm,itasema hakika Chadema ni chama cha watanzania wote.time is approaching.........
 
Back
Top Bottom