Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
Siasa ni kitu kingine na utendaji ni kitu kingine , yeye kama ni bingwa wa porojo anatufaa nini katika maendeleo ya taifa letu, mkaa humu kusifia mtu mwenye propaganda za kijinga hapa
Tunatambua hizo ni porojo kilichovutia ni maneno mazuri aliyoyatoa ukilinganisha na utekelezaji, angalia mchango wangu juu nilichoandika, nipo na mawazo kama yako mkuu (nime-paste nilichoandika juu)
Tumekupata mkuu na mie nilikuwa namwangalia mzee mzima Wasira akiwakilisha, unajua unaweza faulu chuoni lakini ukija uraiani huku utatumiaje elimu yako kuleta mabadiliko mfano mzuri washukuru wao ni wabunge na walipata kazi soon walipomaliza chuo, kuna watu wapo uraiani na wanasema wachumi lakini kichwani hana hata plan ya kufanya shughuli binafsi za kiuchumi. Wasira ila ana kipaji na yeye cha kuwakilisha kama ni mgeni wa nchi hii unaweza sema yote yaliyosemwa yatatekelezwa kumbe hapo kila mpango uliowekwa tayari kuna assumption pembeni ambayo akimaliza tu kusoma wanakaa timu ya ufundi kujadili namna ya kupangua hoja incase kama mpango usipotekelezeka