well said ......mzee wassira kawarejesha wapinzani kwenye mstari.
anasema kukopa sio kosa kosa ni namna unavyotumia mkopo, hata nyerere alikopo akajenga vyuo vikuu ambavyo sisi tumesoma na tunahitajika kulipa alichokopa mwalimu na sisi tukikopa tukajenga daraja kama la kigamboni na maragalasi hakuna matatizo vizazi vijavyo kulipa kwa maendeleo tuliwaletea.....akasema ni muhimu tukaangalia na kuzingatia mkopo unapelekwa wapi badala ya kuhamasisha kwamba tusikope na amekaataa kuelekeza mikopo kwenye vitafunio kwamba hilo ni kosa.