Wassira amtupia dongo Mwigulu...

Tumekupata mkuu na mie nilikuwa namwangalia mzee mzima Wasira akiwakilisha, unajua unaweza faulu chuoni lakini ukija uraiani huku utatumiaje elimu yako kuleta mabadiliko mfano mzuri washukuru wao ni wabunge na walipata kazi soon walipomaliza chuo, kuna watu wapo uraiani na wanasema wachumi lakini kichwani hana hata plan ya kufanya shughuli binafsi za kiuchumi. Wasira ila ana kipaji na yeye cha kuwakilisha kama ni mgeni wa nchi hii unaweza sema yote yaliyosemwa yatatekelezwa kumbe hapo kila mpango uliowekwa tayari kuna assumption pembeni ambayo akimaliza tu kusoma wanakaa timu ya ufundi kujadili namna ya kupangua hoja incase kama mpango usipotekelezeka
Kweli kabisa mkuu Theory is a very different thing from uhalisia kivitendo
 
Hahahahaaa huyu jamaa huwa ananifurahisha sana akiwa anaongea maana he is a politician ambaye ofcoz nafurahi akiwa anaongea then nasahau alichoongea akimaliza but i like watching and listening to him


Na mimi napenda sana kumsilikiza huyu mzee kwanza ana sifa moja ya wanasiasa ni mvumilivu na kila jukwaa analipa mazingira yake mathalan, akiwa kwenye kampeni sio wassira anayekuwa bungeni.
 
amewashauri wabunge kutumia hoja kujibu hoja badala ya hasira kwani hasira inasababisha akili ya mtu kusimama kufikiri na ikisimama kufikiri wabunge watashindwa kuleta maendeleo kwa wananchi.....big up .

Nadhani ndio maana JK amemvuta karibu yake ili apate nondo zake za kumtia moyo
 
wassira kakataa kifo kinachotokana na wenye malori kuhujumu reli amewaambia wauze malori yao kwani mwakyembe anakuja kwa kasi kujenge reli ili reli zijengwe kuokoa barabara kutokana na mizigo mizito kama shaba au chuma ambavyo havibebwi na barabara....

amesema wenye malori wanataka kutuuwa kwa ajili ya faida yao kasema kifo hicho hakikubali wafe wao.
 
Nina hakika kama angekua na akili angetumia vizuri akili yake, sasa alivo na akili ndogo anatumia A kujisifu na utoto na ujinga unapoonekana kuwa Nchemba may be alichakachua kuipata hio A
Amwambia kupata A hakuna maana ila namna gani unaitumia hiyo A .............
 
Miongoni mwa mambo aliyonifurahisha wassira, kwa sasa anajibu maswali bungeni kwa niaba ya serikali lakini kuna kipindi anaachana na karatasi lake analosoma na kushusha nondo kali kutoka kichwani na kutoa mifano kuonyesha kwamba sio mtu wa kuandikiwa na kusoma..... ameshusha nondo za uchumi hata mwiguru kaachwa mbali na mzee huyu..... hakika ni jembe kali.


wabunge wametulia kimya kwa busara ya juu wanamsikiliza mzee wassira.
 
wassira kakataa kifo kinachotokana na wenye malori kuhujumu reli amewaambia wauze malori yao kwani mwakyembe anakuja kwa kasi kujenge reli ili reli zijengwe kuokoa barabara kutokana na mizigo mizito kama shaba au chuma ambavyo havibebwi na barabara....

amesema wenye malori wanataka kutuuwa kwa ajili ya faida yao kasema kifo hicho hakikubali wafe wao.

Leo jamaa anaongea point sana tatizo utakelezaji maana wanajua kabisa reli katika nchi yoyote duniani ni kwa ajili ya kusafirisha mizigo mizito na kazi ya serikali ni kutoa ruzuku kwa reli ili isafirishe mizigo mingi mwisho wa siku barabara zetu zinalindwa na kudumu muda mrefu, vivid example 1997 - 2001 barabara ya Mlandizi - Dar ilijengwa upya lakini baanda ya miaka 10 tunaambia barabara inajengwa tena, check barabara ya Iringa - Makambako nayo inajengwa upya na Barabara ya Musoma - Mwanza pia inajengwa upya. Kwa style hii hatuwezi fika maana barabara hazidumu muda mrefu
 
Hapo hata waje wawakilishi toka mbinguni nchi hii,maendeleo itakuwa hatua mbili mbele tatu nyuma. ISSUE HAPA NI MUUNDO WA HALMASHAURI ZETU, NO BODY IS SAYING ANYTHING ABOUT IT.
madiwani hawana uwezo wa kusimamia rasilimali zinazopelekwa kwenye halmashauri. madiwani wanachowaza wao no posho tu, wachache wanaoweza kuzielewa technical report, kielimu ndo kabisa wamezidiwa na wanaowasimamia
 
wassira kakataa kifo kinachotokana na wenye malori kuhujumu reli amewaambia wauze malori yao kwani mwakyembe anakuja kwa kasi kujenge reli ili reli zijengwe kuokoa barabara kutokana na mizigo mizito kama shaba au chuma ambavyo havibebwi na barabara....

amesema wenye malori wanataka kutuuwa kwa ajili ya faida yao kasema kifo hicho hakikubali wafe wao.


Labda kama angetueleza kuwa walishaliongea jambo hili kwenye vikao vyao vya ndani. Maana wenye hayo Malori ni wao wenyewe na vijana wao. Hili jambo lilipigiwa kelele siku nyingi, hawakutaka kulijibu mpaka tumedhurika hivi. Leo wanakuja na ngonjera hii...? Naona wanataka kujivua lawama kabla ya kiama cha 2015.
 
Leo jamaa anaongea point sana tatizo utakelezaji maana wanajua kabisa reli katika nchi yoyote duniani ni kwa ajili ya kusafirisha mizigo mizito na kazi ya serikali ni kutoa ruzuku kwa reli ili isafirishe mizigo mingi mwisho wa siku barabara zetu zinalindwa na kudumu muda mrefu, vivid example 1997 - 2001 barabara ya Mlandizi - Dar ilijengwa upya lakini baanda ya miaka 10 tunaambia barabara inajengwa tena, check barabara ya Iringa - Makambako nayo inajengwa upya na Barabara ya Musoma - Mwanza pia inajengwa upya. Kwa style hii hatuwezi fika maana barabara hazidumu muda mrefu

kwa walimkosa wassira leo wamekosa kujua sura halisi ya mzee huyu ..... kachanachana mvuatno wote wa CCM na chadema bungeni kama utaendelea basi utokane na tofauti za itikadi sio hoja.
 
Amwambia kupata A hakuna maana ila namna gani unaitumia hiyo A .............

Wassira anapenda sana madaraka na anayatumia vibaya madaraka wewe unasemaje ? Ushahidi ninao mimi alipo mtishia jamaa wa KJ Motors na kumwambia atamtambua akisha kula kiapo kama waziri na hapo ilikuwa kabla hata ya kampeni.
 
Labda kama angetueleza kuwa walishaliongea jambo hili kwenye vikao vyao vya ndani. Maana wenye hayo Malori ni wao wenyewe na vijana wao. Hili jambo lilipigiwa kelele siku nyingi, hawakutaka kulijibu mpaka tumedhurika hivi. Leo wanakuja na ngonjera hii...? Naona wanataka kujivua lawama kabla ya kiama cha 2015.

Mwakyembe amekaa golini tutaona atakayemfunga bao kwani amedhamilia kwa nguvu kuleta mapinduzi kwa kauli yake ya leo bungeni.... tumpe muda kwa sasa ni waziri kamili hatakuwa na jambo la kutuongopea.
 
Mwigulu na Wasira angalieni qualifications za madiwani. mi nilidhaniwagombea udiwani walitakiwa wawe na sifa kama za wagombea ubunge au ikibidi zaidi ili kuzisimamia vizuri Halmashauri zetu ambazo ndo major recepients wa rasilimali za nchi hii.
 
kwa walimkosa wassira leo wamekosa kujua sura halisi ya mzee huyu ..... kachanachana mvuatno wote wa CCM na chadema bungeni kama utaendelea basi utokane na tofauti za itikadi sio hoja.

Mama masabu mbona sioni chochote alichoongea huyu mzee ambaye hataki kumwangalia mtu usoni
 
Frankly speaking i liked the way amejibu hoja leo (sisemi kwamba nimekubaliana naye) ila amejibu very matured kiasi cha kumfanya mtu ambaye alikuwa anapinga sasa waweze kukaribishana na kuambizana hapa bado hapa pawe hivi, tofauti na matusi na upuuzi uliokuwa unafanyika before.

Nina wasiwasi sana na waziri wa fedha, kama ataingia kuongea ki kada atakuwa ameharibu kabisaaaa.

Prof. Muhongo sio mwanasiasa so anapata tabu kidogo kuongea siasa so nahisi atakuwa anapata tabu sana ku deal na wanasiasa ndani ya bunge
 
Wassira anapenda sana madaraka na anayatumia vibaya madaraka wewe unasemaje ? Ushahidi ninao mimi alipo mtishia jamaa wa KJ Motors na kumwambia atamtambua akisha kula kiapo kama waziri na hapo ilikuwa kabla hata ya kampeni.

Labda Kj Motors walitaka kufanya dhuluma sema walikosana nini na ilikuwaje ili sisi tupime ...... mtu akitishia kuua basi ujue kuna jambo limemfikisha hapo.... tuambie ni nini kilimfikisha wassira kutoa maneno hayo makali?
 
Back
Top Bottom