Wasira; "Mkitaka kuamua mambo mazito, msiwe mmekasirika kwasababu mkiamua mambo mazito mmekasirika mtashindwa kulisaidia Taifa"
nimekubali mzee wassira ni gwiji wa siasa za tanzanai!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! big up mtu mzima!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
siyo siri toka bunge la bajeti lilipoanza, ccm imefunika sn. chdm angalien mmejikwaa wapi! chdm hoi bin taaban
Kuna kitu nimekiona kwa Wasira, ukikaa naye face to face mkalumbana politically humuwezi hata kwa namna gani. The guy is a real politician. Sikiliza kama ataongelea ile issue ya uchumi wa Africa kukua kwa average ya 2% (kama alivyosema yeye) wakati the least performed country ilikua kwa more than 3%. Hii hawezi kuisema kwasababu anajua alibuginimeipenda sana hii ya wassira
Amwambia kupata A hakuna maana ila namna gani unaitumia hiyo A .............
Wasira; "Mkitaka kuamua mambo mazito, msiwe mmekasirika kwasababu mkiamua mambo mazito mmekasirika mtashindwa kulisaidia Taifa"