Wassira amtupia dongo Mwigulu...

Wassira amtupia dongo Mwigulu...

Hahahahaaa huyu jamaa huwa ananifurahisha sana akiwa anaongea maana he is a politician ambaye ofcoz nafurahi akiwa anaongea then nasahau alichoongea akimaliza but i like watching and listening to him

as kivutio cha utalii
 
tunakaa kusifia ujinga huo, anatufaa nini mtu wa propaganda , sisi tunataka utendaji, hayo aliyoongea yana uhusiano gani na bajeti isiyojibu matakwa ya wananchii, tutakaa humu kuendelea kusifia mabingwa wezi wa taifa hili mpaka lini, I am very sorry to say that, wote mnaopongeza hoja zake uwezo wa kufikiri ndo umeishia hapo ?
 
Hahahahaaaa kwani ilikuwa haitoi nafasi ya flexibility?

Mkuu kipindi hicho hakukuwa na flexibility. Tatizo ni kwamba waliokuwepo enzi hizo za Kushika Hatamu; na Chuo cha Siasa Kivukoni bado wanashikilia mawazo hayo bila kuzingatia kuwa Dunia imebadilika na uwezo wa watu kufikiria na kuhoji umeongezeka, watu wanafundshwa kuwa Critical thinker na sio Accept Without Inquiry; ndio maana unaona mtu akienda kinyume tu anakuwa "Sio Mwenzetu".
 
Mbona hiyo A haimsaidii huyo Chemba uchumi umedorora tu watu hawana uhakika wa kuingiza dola 1
 
Amwambia kupata A hakuna maana ila namna gani unaitumia hiyo A .............

Inawezekani ni kijembe kwa Zitto Kabwe pia coz nae alizungumza kuhusu A yake ktk somo la Public Finance na Mwalimu wake ni mshauri wa Rais ktk Uchumi. Anyway Mwigulu Nchemba NI KILAZA WA KUZALIWA!
 
Kazi gani? Kusuka mipango ya kuiba na ku-cover up ule wizi wa pesa za EPA?
 
watu wa propaganda wapo hapa??? mbona mawazo yanaelekezwa kwenye propoganda za Wassira kuhusu kupoza hisia za wabunge na wananchi badala ya kuelekezwa kwenye utatuzi wa bajeti kinyongo kwa wanyonge wa nchi hii au ndo nanyi mumepozwa na propaganda??????? nauliza usisifie upoozaji wa hoja za cdm afu ukarudi kulalamika kesho usipoona utekelezaji wa bajeti uliosifia, usimamie ulichokisifia leo mpaka mwisho...
 
Siasa ni kitu kingine na utendaji ni kitu kingine , yeye kama ni bingwa wa porojo anatufaa nini katika maendeleo ya taifa letu, mkaa humu kusifia mtu mwenye propaganda za kijinga hapa




Ukweli utabaki pale pale kwani jiwe walilolikataa wa.....ndilo litakalokuwa mhimili wa ......
 
mia nimeisikia pia. Wana jf ikumbukwe wiki iliyopita Mwiguru Nchemba wakati akichangia alijitamba wazi kuwa,kuna watu ni wanasheria wajadili mambo ya uchumi,wengine ni wataaramu wa mambo ya disco wanajadili uchumi.ndo akasema yeye ni mwanauchumi daraja la kwanza na amefanya kazi pale BOT.

kuna tatizo la usomi wetu wa kuungaunga, unaoshindwa kuunganisha na kubainisha mambo.Kuwa na taaluma si kipimo cha uwezo wa kupambana na mazingira, sababu kisosholojia, kisaikolojia unaweza kuwa mtupu.Ndo matatizo ya kufanya recriutment ya criteria ya professionalism competence bila kujali aspect of social climatization competence absorption.Unakuta mtaalam ana PHD ,lakini hata siku moja hajawahi kuwa kiongozi , hajawahi kukaa na jamii, yeye ni kompyuta na vitabu tu.Siku akikuhoji kazini kwann mnakwenda kuzika , kwa maana mnapoteza muda wa kufanya kazi ,usimshangae.Kwahiyo NCHEMBA kuwa na A ndo uwezo wa kuchambua hoja na kuzifanya zikubalike kwenye jamii si kipimo mwafaka na ndo maana kwenye majukwaa naonekana mtupu.ndo ubovu wetu wa serikali kuwa na assumption hii.Huyu NCHEMBA na shaka background yake inaonekana alikuwa mshamba sana kama lusinde, hoja zake ni dhaifu sana.
 
siasa ni kitu kingine na utendaji ni kitu kingine , yeye kama ni bingwa wa porojo anatufaa nini katika maendeleo ya taifa letu, mkaa humu kusifia mtu mwenye propaganda za kijinga hapa



zile propaganda za kielevu zi wapi? Ebu tuwapatie haki wale wenye kuistahili haki,heshima wenye kuisthili heshima,kiukweli wassira is da best.sawa tutapinga lakini ukweli utabaki palepale.hivi kumkanya yule mh. Aliyejitapa kwa "a" score ni ujinga?
 
zile propaganda za kielevu zi wapi? Ebu tuwapatie haki wale wenye kuistahili haki,heshima wenye kuisthili heshima,kiukweli wassira is da best.sawa tutapinga lakini ukweli utabaki palepale.hivi kumkanya yule mh. Aliyejitapa kwa "a" score ni ujinga?

Mimi la kuwakanya sina shida nalo mh. zito na mwigulu wote waliongelea kuwa walipata hizo A, mimi hiyo si hoja kwangu na hapo naungana na wasira, tatizo na kwa hayo mengi mnayomsifia aliyobwabwaja mle, wasira amekuwa waziri wa kuhama hama wizara , niambie ni la maana lipi alilolifanya kwenye wizara hizo
 
A ya Nchemba ni ya kudesa tu hana lolote.

kuna mtu aliye soma naye atupe details, utakuta alikuta mtu wa network sana na vibut. watu wa hivyo mara nyingi ujidai.
 
Eti mchumi mwandamizi wa dalaja la kwanza kutoka bot ngoja niache nisije nikakung'utwa ban na leo ndio ijumaa!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wassira kuongea pointi ni lazima mungu aje kwanza. Pointi kwangu mimi ni maendeleo sio lugha nzuri za kisiasa wakati nchi inateketea.
 
Nadhani lilikuwa dogo kwa Mwigulu, huyu jamaa anadhani A amepata yeye tu! Depends unaitumiaje A yako! Tumeona A nyingi zinakula pombe tu mtaani hazina kitu katika real life. Sina hakika kama lilikuwa dongo la Zitto pia kwani huyu mpumbavu Mwigulu ndiye aliianzisha hii. Hata mimi nina A ya Kilimo lakini sioni lolote katika haya maisha.
 
Kwa namna ambavyo viongozi/mawaziri na hasa Wassira walivyoongea leo bungeni ni wazi kabisa kuwa serikali ya CCM haiwezi kufanya kazi bila shinikizo. Mienendo yao leo bungeni inaonesha hatari waliyonusa toka CHADEMA. Wametikiswa na CHADEMA na sasa wanaanza ku-bahave kama binadamu na sio miungu watu. Kama sio shinikizo na kelele za CHADEMA hawa watu wangeendelea na matusi na kejeli.

Kazi iliyobaki ni kwa wabunge wa CCM pamoja na Spika wao. Wakiwa bungeni wanajidanganya kuwa wako wengi, na kutumia wingi wao (wa bandia) kutukana CHADEMA badala ya kujadili matatizo ya wapiga kura wao. Baada ya bunge wataenda kuwaeleza nini wananchi? Wanawaletea nafuu gani ya maisha?
 
Wassira ni kichwa kwa aliyotoka kumweleza zitto hivi punde kuhusu bajeti hata zitto anaonekana na wapinzani wako karibu kukubali..... tuendelee kufuatailia. Mungu hawezi kukunyima sura na akili kumbe wassira kajaliwa akili.
haaaaa!
 
Back
Top Bottom