masatujr1985
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,980
- 780
"Siku nikirudi CCM labda nitakuwa maiti" Steven Wassira.
Maiti inaongea!!!!!
Maiti inaongea!!!!!
.............
Mtoto (hata kama ni wa mdogo wako) akikuumbua hadarani utamfanyeje zaidi ya kumkana...............
Kwa stail yako hii, ninapata munkari wa kuamini kuwa mtoto wako akijichafua mkono wake kwa uchafu wa "taka utumbo" hautasita kumkata mkono wake uliochafuka.
Tunashukuru kwa ufafanuzi wako mzee wetuKwa taarifa ya WanaJF, George Wassira alikuwa ni mmoja wa WanaCHADEMA wa kwanza na alichaguliwa Mwenyekiti Mkoa wa Mara.
George na mimi tulipata fursa ya kumtembelea Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, nilipokuwa Musoma nikieneza Chama; tukampelekea Katiba na Sera zetu nyumbani kwake Butiama. Nafurahi sana kwamba Lilian na Esther Wassira wamejiunga na M4C, kuimarisha ngome ya vijana wakombozi.