Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,515
- 42,646
Ile ya Tyson imemuingia kijana ipasavyo.
ha ha ha vijana wanakurupuka mno
Ile ya Tyson imemuingia kijana ipasavyo.
JK alivyokuwa wa ajabu,utasikia leo akimpandisha cheo na kuwa waziri kamili!
Tusubiri hiyo saa 5 atakapokuwa akiongea na waandishi wa habari Ikulu.
Jf ni inshu nyingine aseeeMakaburi yanafufuliwa leo
mmmh!JK alivyokuwa wa ajabu,utasikia leo akimpandisha cheo na kuwa waziri kamili!
Tusubiri hiyo saa 5 atakapokuwa akiongea na waandishi wa habari Ikulu.
kweli kabisaKutetea wauaji na kuropoka ni jadi ya ccm.
Usisahau tu kuwa hana nafasi tena ya kuongea na watuSasa Bw. Nyalandu kamaliza mzunguko (full cycle). Anachotaiwa kufanya kwanza ni kuomba radhi na kueleza kilichotokea kwenye ile operesheni, suala la ujangili wa wanyama pori wetu na madudu mengine ambayo propagandists wa CCM wataweka humu na kwingineko, asikae kimya.
Namshauri Bw. Nyalandu asiogope wala kusita (baada ya kuomba radhi) kuweka kila kitu peupe sasa, kama sehemu ya toba na kushadihisha tamko lake la kujiuzulu ubunge na nyadhifa zake CCM leo tarehe 30 Oktoba 2017.
Namuona mzee msomali kwa mbaaaaliiiii,, km nyarando atakohoa kusema mshirika lkn km ni CIA km inavyosadikika huwenda akafa kiume,Sasa Bw. Nyalandu kamaliza mzunguko (full cycle). Anachotaiwa kufanya kwanza ni kuomba radhi na kueleza kilichotokea kwenye ile operesheni, suala la ujangili wa wanyama pori wetu na madudu mengine ambayo propagandists wa CCM wataweka humu na kwingineko, asikae kimya.
Namshauri Bw. Nyalandu asiogope wala kusita (baada ya kuomba radhi) kuweka kila kitu peupe sasa, kama sehemu ya toba na kushadihisha tamko lake la kujiuzulu ubunge na nyadhifa zake CCM leo tarehe 30 Oktoba 2017.
Tunashangilia hoja alizotumia kuondoka CCM. Ni wajinga, wanaofaidi makombo peke yao ndio wanaweza kubaki CCM, rudi kwenye hoja alizozitumia. wako wengi wanasita kuondoka kwa sababu ya woga na makombo, basi!Na sasa nyie mnamshangilia huyo huyo
Ha ha haaaaaa
Sababu alizotumia kuondoka ndizo tamu!Haya leo Nyalandu kawa Mtamu
Kweli Tanzania imejaa Vibendera
Hahahah! Sasa hivi mnacheka na huyo?------ hana tabu na vile ndio kabatizwa jina la Vasco Dagama hana mpango endelevu juu ya sector hii..... Bado tuna mwaka 1 na miezi 9 ya kuendelea kulia na huyu ------.
inasemekana Nyalandu then alikuwa akitekeleza maagizo ya taasisi aliyokuwa akiitumikia wakati ule - yaani CC ya NEC (CCM).Na sasa nyie mnamshangilia huyo huyo
Ha ha haaaaaa
inasemekana Nyalandu then alikuwa akitekeleza maagizo ya taasisi aliyokuwa akiitumikia wakati ule - yaani CC ya NEC (CCM).
kama Lowassa kwenye Richmond alivyokuwa akitekeleza maagizo ya mwajiri wake cabinet ya CCM.
aliyeoza na ambaye anaambukiza uozo kwa waliomo ndani yake ni CCM!