Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,058
- 134,381
Mh.Wasira ameonesha kukerwa na propaganda zinazoenezwa na Lowasa na wapambe wake juu ya ujenzi wa shule za kata.Mwananchi limeripoti kuwa Wasira amekemea kuwa sera hiyo ilikuwa sera ya CCM mwaka 2005 na ni uongo kuwa ilikuwa wazo la Lowasa kama anavyodai.
My Take:Lowasa, umimi wenu utaliangamiza taifa
My Take:Lowasa, umimi wenu utaliangamiza taifa