Wassira amchamba Lowassa kuhusu Shule za Kata

Wassira amchamba Lowassa kuhusu Shule za Kata

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,058
Reaction score
134,381
Mh.Wasira ameonesha kukerwa na propaganda zinazoenezwa na Lowasa na wapambe wake juu ya ujenzi wa shule za kata.Mwananchi limeripoti kuwa Wasira amekemea kuwa sera hiyo ilikuwa sera ya CCM mwaka 2005 na ni uongo kuwa ilikuwa wazo la Lowasa kama anavyodai.

My Take:Lowasa, umimi wenu utaliangamiza taifa
 
Wasira ni jasiri haogopi kusema ukweli,kama Nyeupe ni Nyeupe, hajawahi kuwa mnafiki.
Ndio maana Watanzania wanamhitaji awe Rais wao.
 
Wasira ni jasiri haogopi kusema ukweli,kama Nyeupe ni Nyeupe, hajawahi kuwa mnafiki.
Ndio maana Watanzania wanamhitaji awe Rais wao.
Chief Wanzagi:hakuna mwana CCM mwenye sifa ya urais
 
Mh.Wasira ameonesha kukerwa na propaganda zinazoenezwa na Lowasa na wapambe wake juu ya ujenzi wa shule za kata.Mwananchi limeripoti kuwa Wasira amekemea kuwa sera hiyo ilikuwa sera ya CCM mwaka 2005 na ni uongo kuwa ilikuwa wazo la Lowasa kama anavyodai.My Take:Lowasa na Zito umimi wenu utaliangamiza taifa
Wasira ni mwanasiasa makini hajawahi kuwa na sentensi zenye utata katika mambo muhimu.
Isije ikawa Mwandishi kamnukuu vibaya akaandika kwa nia ya kuwachonganisha.
Inajulikana sasa ndani ya CCM mjadala mkubwa ni Wasira na Lowasa. Mmoja kati yao ndio Rais.
 
Wasira ubunge atausikia redioni tu, jimbo lake Esther Bulaya analichukua
 
Wasira ni mwanasiasa makini hajawahi kuwa na sentensi zenye utata katika mambo muhimu.
Isije ikawa Mwandishi kamnukuu vibaya akaandika kwa nia ya kuwachonganisha.
Inajulikana sasa ndani ya CCM mjadala mkubwa ni Wasira na Lowasa. Mmoja kati yao ndio Rais.

Huo umakini wa Wasira upo wapi, wakati ndiokiongozi anayeongoza kwa kulala nda ya Bunge. Isitoshe kama mtu huna ata umakini kwenye kuvaa nguo yako mwenyewe, Sijui mtastushawishi kwa lipi kwa huyo wasira wenu.
 
Wasira ndo nani?ni mkuu wa mkoa au?nijuzeni jamani
Bill Gate tumefurahi kukuona humu, kumbe na wewe una akaunti JF? Haya ngoja tukujuze bosi.
Huyo ndio Rais Mtarajiwa ambaye atadhibiti mianya ya Rushwa na Ufisadi, yeye ni Mwadilifu mwenye msimamo.
Mabepali matapeli kama wewe kaeni tako moja maana mwisho wenu ni huu.
www.stephenwasira.co.tz
Utamjua tuu.
 
Kweli Wasira awe Raisi, si atasinzia akiwa anakagua Gwaride
 
Iwe sera ya CCM, liwe wazo la Lowassa,Wasira amana nani kinachowasumbua ni urais na si kingine.
 
baada ya kumfuatilia kwa karibu nimegundua wassira pia ni miongoni mwa majiniasi wachache wa kisiasa hapa nchini.
anasema kile anachokiamini ingawa sio tiketi ya kuwa mkuu wa nchi bali anafaa kuwa mshauri wa karibu wa kisiasa wa kiongozi wa chi.

ana akili kubwa. Ila Magufuli akiwa shaped na refined vizuri na kuzungukwa na watu sahihi. kwa maoni yangu Miaka mitano inamtosha kutupa dira iliyopotea na kuweka misingi imara kwa tanzania ninayoiona katika ndoto.

we need someone who can translate political promises into tangible realities. Kwa maoni yangu tanzania nzima huyu jamaa japo kwa kupapasa ameonyesha practically bila kuwa na nia yoyote ya kujipendekeza kisiasa kwa wananchi kuwa anakitu katika bongo yake.
 
Kweli Wasira awe Raisi, si atasinzia akiwa anakagua Gwaride

Mbona Kikwete pamoja na kuwa mwanajeshi na kukagua gwaride miaka kumi juzi kakosea???
Acha akili za kushikwa. Wasira yuko makini sana, huwezi kumlinganisha na hawa vilaza wengine.
Ana Afya njema.
Yuko Fit.
Ana akili nyingi.
We endelea kuimba ngojera za umitashumita.
 
Bill Gate tumefurahi kukuona humu, kumbe na wewe una akaunti JF? Haya ngoja tukujuze bosi.
Huyo ndio Rais Mtarajiwa ambaye atadhibiti mianya ya Rushwa na Ufisadi, yeye ni Mwadilifu mwenye msimamo.
Mabepali matapeli kama wewe kaeni tako moja maana mwisho wenu ni huu.
www.stephenwasira.co.tz
Utamjua tuu.
Wassira si muadilifu aliwahi kuhukumiwa kwa rushwa kwenye kesi ya uchaguzi.
 
Huo umakini wa Wasira upo wapi, wakati ndiokiongozi anayeongoza kwa kulala nda ya Bunge. Isitoshe kama mtu huna ata umakini kwenye kuvaa nguo yako mwenyewe, Sijui mtastushawishi kwa lipi kwa huyo wasira wenu.
Urais haupimwi kwa kuvaa suti. Rais wako ndio Handsome kuliko wote Marais wote Afrika, haya Tanzania ni ya ngapi kwa Uchumi Afrika.
Vp Dollars kwa shilingi.
Vp Uchumi wa kila Mwananchi na wenyewe ni mzuri kama ulivyo uzuri na urembo wa rais wao?
Acha akili za kushikwa.
 
Back
Top Bottom