rebeccamrema
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 334
- 196
Si mmeshasema mmesomea masuala hayo nje na muasisi wa huo mpango anahusishwa!!??
Eti wasomi! !!!
haaahaaaaa wana haki ya kueleza mazuri ya mfadhili aliyewapeleka nje kusoma chuo
Si mmeshasema mmesomea masuala hayo nje na muasisi wa huo mpango anahusishwa!!??
Eti wasomi! !!!
Ingilia kati suala hili mheshimiwa rais kulinda taasis ya rais
Ningekuwa rais muhongo na maswi wangekuwa ndani muda huu na sethi angeshanyongwa wanahonga vijana pesa za pombe na condom kutoa matamko ya kipuuzi kama haya; hii inayotumika ni pesa ya umma.
duuu kwani wahitimu wa secondary nao wanazuoni?
Ndo maana haujawa rais zwazwa wewe
Hawana tofauti. Wanazuoni gani wanafkiria kwa kutumia........lio?
....Mpaka muandaliwe ndiyo muongee? Elimu mliyopata haijawakomboa kifikra. Nyie siyo msaada kwa waTanzania.
I like this, PAC walichemka
wanachuo uchwara wakoje mkuu
Ni wanaoanza kujiita wasomi wakati hawajaweza hata kubadili theory ikawa tangible kama wewe unaonekana ni mmoja wao!!!wanachuo uchwara wakoje mkuu
hao misukuke issue ya katiba pendekezi hawakuona mapungufu wanaona mapungufu kwenye hii issue inayomgusa mtu au watu wawili kuliko katiba inayowagusa watanzania wote kwa miongo kadhaa ijayo? Hii elimu ta siku hii balaa sana.