Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,211
- 42,072
Wasalaam
Wasanii wasomi kuliko wote,wanajua kila jambo, wataalam, na wanamuziki mahiri Wakazi na Nikki 11 leo wameingia kwenye mjadala kuhusu umuhimu wa instagram kwa sanaa na wasanii na kila mtu akivutia kwake ...
TOKA TWITTER
NICK WA PILI: Sasa hivi ukimwibia msanii gari haumrudishi nyuma kama ukimwibia account yake ya insta au youtube channeli yake, leo hii tunapozungumza ulinzi wa kazi za msanii inatubidi pia kuongeza hivyo vitu nakutafuta kama kuna weza kuwa na namna ya kuboresha usalama wa kuzilinda
WAKAZI: Mzee unaongelea "wasanii wa bongofleva na kiki" au wapi hao?! A big chunk of artists hawapo (or in inactive) Instagram na wanaishi. How can Instagram be the most valuable wakati, you can't share active links, can't monetize it, can't post artistic works without restrictions
NICK WA PILI: Wasanii ambao hawako hiyo ni shida yao, what u mean u can't monetize? Au kuweka link na kazi ya sanaa???
WAKAZI: Instagram is just an app kama tu twitter, Facebook, etc. Sio user friendly kwa consumer wa msanii, maana kwenye interface links sio "live" mpaka umpeleke kwenye BIO. You can't monetize it. It's as clear as it sounds. You can't make money directly kwa views, likes & followers
NICK WA PILI: Labda niseme wewe ongeza followers tu, insta u can make allot kuliko hizo platforms nyingine u can make hatakama huna wimbo wala albums
WAKAZI: Nikki I'm sure I'm way more social media savvy than you. And in fact I made my name on these platforms. Insta haikuingizii hela kiivyo directly. Ndio maana ya you can't monetize it.
NICK WA PILI: Labda wewe au kwako , na sijui monetize kwako ina maana gani YouTube wanalipa kupitia matangazo inta unapata matangazo yako binafsi husubiri kua na wimbo
WAKAZI: Matangazo ya Instagram sio sustainable kiasi cha kuita account is monetized. Na jinsi ulivyoiweka it's as if kila msanii anapata hayo matangazo. And that's coming from me, ambaye I have actually been paid as an influencer by various companies.
NICK WA PILI: Hakuna mahali kila mtu anapata inategemea na thamani, brand positioning, influence nakadhalika hata album kuna watakao uza copy 100 na watakao uza 100, 000
WAKAZI: Ila mkuu ile statement yako imekaa kama vile bila Insta wasanii wengi wataadhirika. Kimuonekana ndio, wengi, ila sio kiuchumi (na cha pili ndio muhimu zaidi). Badala ya ku-generalize bora ungesema "Mimi nitateseka bila insta, maana inanitoa kimasomaso..."
Wasanii wasomi kuliko wote,wanajua kila jambo, wataalam, na wanamuziki mahiri Wakazi na Nikki 11 leo wameingia kwenye mjadala kuhusu umuhimu wa instagram kwa sanaa na wasanii na kila mtu akivutia kwake ...
TOKA TWITTER
NICK WA PILI: Sasa hivi ukimwibia msanii gari haumrudishi nyuma kama ukimwibia account yake ya insta au youtube channeli yake, leo hii tunapozungumza ulinzi wa kazi za msanii inatubidi pia kuongeza hivyo vitu nakutafuta kama kuna weza kuwa na namna ya kuboresha usalama wa kuzilinda
WAKAZI: Mzee unaongelea "wasanii wa bongofleva na kiki" au wapi hao?! A big chunk of artists hawapo (or in inactive) Instagram na wanaishi. How can Instagram be the most valuable wakati, you can't share active links, can't monetize it, can't post artistic works without restrictions
NICK WA PILI: Wasanii ambao hawako hiyo ni shida yao, what u mean u can't monetize? Au kuweka link na kazi ya sanaa???
WAKAZI: Instagram is just an app kama tu twitter, Facebook, etc. Sio user friendly kwa consumer wa msanii, maana kwenye interface links sio "live" mpaka umpeleke kwenye BIO. You can't monetize it. It's as clear as it sounds. You can't make money directly kwa views, likes & followers
NICK WA PILI: Labda niseme wewe ongeza followers tu, insta u can make allot kuliko hizo platforms nyingine u can make hatakama huna wimbo wala albums
WAKAZI: Nikki I'm sure I'm way more social media savvy than you. And in fact I made my name on these platforms. Insta haikuingizii hela kiivyo directly. Ndio maana ya you can't monetize it.
NICK WA PILI: Labda wewe au kwako , na sijui monetize kwako ina maana gani YouTube wanalipa kupitia matangazo inta unapata matangazo yako binafsi husubiri kua na wimbo
WAKAZI: Matangazo ya Instagram sio sustainable kiasi cha kuita account is monetized. Na jinsi ulivyoiweka it's as if kila msanii anapata hayo matangazo. And that's coming from me, ambaye I have actually been paid as an influencer by various companies.
NICK WA PILI: Hakuna mahali kila mtu anapata inategemea na thamani, brand positioning, influence nakadhalika hata album kuna watakao uza copy 100 na watakao uza 100, 000
WAKAZI: Ila mkuu ile statement yako imekaa kama vile bila Insta wasanii wengi wataadhirika. Kimuonekana ndio, wengi, ila sio kiuchumi (na cha pili ndio muhimu zaidi). Badala ya ku-generalize bora ungesema "Mimi nitateseka bila insta, maana inanitoa kimasomaso..."