Wasomi njooni tusaidiane hapa.

Wasomi njooni tusaidiane hapa.

xbin40

Member
Joined
Mar 14, 2025
Posts
69
Reaction score
76
Naombeni kujua haya mambo

1. Ajira za utumishi wanavyosema kucertify vyeti ndo uombe ajira, je zile transcripts ambazo zinaambatana na vyeti vya chuo nazo zinatakiwa kuwa certified Au ni cheti tu?

2. Kwasasa kupata mhuri wa mahakama au mwanasheria ina range kwenye kiasi gani cha pesa?

3. Ajira za ualimu zinazingatiaga GPA kama wakufunzi wa vyuo?

3.Mnaweza kujibu hayo maswali hapo juu (1&2)kwa utaratibu na utashi bila jokes na kebehi?

ASANTENI SANA.
 
Kwani transcript sio certificate mkuu?, transcript inagongwa, mwanasheria unampa yoyote haswa teni mpaka 20,
 
Back
Top Bottom