Tumeona jinsi CCM ilivyoteswa na wasomi wa upinzani kiasi cha kutumia nguvu kuzima hoja zao. Angalizo sasa Chama cha Mapinduzi kitumie wasomi walioomba nafasi za Ubunge ili kujenga base yenye nguvu hata kimataifa.
Tumeona pia Rais anavyoteseka kupata mawaziri mpaka analazimika kula matapishi yake kwa kurecycle wale aliowatumbua. Kuiwepo kwa wagombea wengi ma hasa wasomi wenye sifa ni fursa sasa kwa Chama na Taifa kupata viongozi imara.
Angalizo Chama kiache kuwavua akili wasomi wake. CV za wasomi zitangulie mbele. CCM.
Tumeona pia Rais anavyoteseka kupata mawaziri mpaka analazimika kula matapishi yake kwa kurecycle wale aliowatumbua. Kuiwepo kwa wagombea wengi ma hasa wasomi wenye sifa ni fursa sasa kwa Chama na Taifa kupata viongozi imara.
Angalizo Chama kiache kuwavua akili wasomi wake. CV za wasomi zitangulie mbele. CCM.