DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,338
Katika mapitio mengi ya kuisogeza nchi yetu kanaani na kujikomboa toka minyororo ya umaskini,ujinga na maradhi hawa wanaojiita wameenda shule ndio wanatuangusha
Wao kila kitu cha serikali ni kibaya kina kasoro na blabla kibao!
Hawa ndo waandamanaji hewa! Nyuma ya keyboards!
Hawa hawaaminiki jamani wanyonge wenzangu!
Tushikamane na rais wetu
Wengi wao ni hewa tu basi mawazo yao ni ulaghai
Tusikubali kutumiwa kwa maslahi binafsi wanatutumia ka ngazi
Wao kila kitu cha serikali ni kibaya kina kasoro na blabla kibao!
Hawa ndo waandamanaji hewa! Nyuma ya keyboards!
Hawa hawaaminiki jamani wanyonge wenzangu!
Tushikamane na rais wetu
Wengi wao ni hewa tu basi mawazo yao ni ulaghai
Tusikubali kutumiwa kwa maslahi binafsi wanatutumia ka ngazi