Wasomi ndio wanatuangusha!

Wasomi ndio wanatuangusha!

Ila akiwa ndani ya serikali ni kuharbu tu mfano mdogo inshu ya mafuta walioharbu ni wasomi walioko ndani ya serikali alafu wasomi walioko nje ya serikali wanawapinga kuwa hapa mnaharbu
Sukari ilipandaga kiutaniutani mpaka sasa tumezoea bei ya sukari. Mafuta nayo yanapanda kiutaniutani kwa mivutano ya mamlaka za serikali. Sijui kitafata nini kupandishwa bei Ifike sehemu mamlaka zifanye kazi kulinda watanzania na sio kuwaongezea mzigo
 
Elimu haijawahi kumkomboa mtu kuondokana na upumbavu,bali elimu huondoa ujinga.Wasomi wengi wa kiafrika ni wapumbavu.Upumbavu ni ile hali ya kuujuwa ukweli,kuuona ukweli,lakini bado unaendelea kuamini katika uongo.
 
Back
Top Bottom