Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,707
- 91,650
Maandiko yapi?Safi kwahiyo tumekubaliana biblia ni kitabu cha kitapeli hakuna popote kinapotambulika kwenye maandiko
Maandiko yapi?Safi kwahiyo tumekubaliana biblia ni kitabu cha kitapeli hakuna popote kinapotambulika kwenye maandiko
mkuu wa dini ya amani unaumia kusikia neno 'msomi?'🤣Labda kwenye andiko la wasomi mabumunda
mungu aliyeshusha kurwani naamini kabisa alikua kichaa mvuta bangi,kwanini alishusga kitabu vha hovyo namna ile.Nyie makafiri mnakua mnawashwa sana na uislamu, kwa taarifa yako uislamu si dini mpya ulikueko tokea enzi za Nuhu na Adam, na sisi waislamu tunaheshimu mitume yote iliopita na ndio maana imetajwa katika Quran, sasa hoja yako kusema tumekopilia kutoka uyahudi na ukristo ni kweli kwani hao vitabu vyao vinatoka kwa Mungu huyo huyo alieishusha Quran .
quran imemtaja mtume daudi kwa kutaja hadithi zake na uwezo wake.Nioneshe Zaburi ya kwenye Qurani.
Nipe Sura moja ya kitabu cha Zaburi ambayo ipo ndani ya kitabu cha Qurani.quran imemtaja mtume daudi kwa kutaja hadithi zake na uwezo wake.
Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Anatoa habari kwamba Amewafukuza kutoka kwenye rehema Yake makafiri miongoni mwa Wana wa Isrāīl, kama ilivyoandikwa kwenye kitabu ambacho Mwenyezi Mungu Alikiteremsha kwa Dāwūd, amani imshukie, nacho ni Zaburi, na kwenye kitabu Alichokiteremsha kwa Īsā, amani imshukie, nacho ni Injili, kwa sababu ya kuasi kwao na kuyafanyia uadui kwao mambo Aliyoyatukuza Mwenyezi
Dāwūd akasema, «Kwa hakika ndugu yako amekudhulumu kwa kutaka kwake kumchukua kondoo wako awe pamoja na kondoo wake. Na kwa hakika, wengi wa washirika, baadhi yao wanadhulumu wengine: wanawadhulumu kwa kuchukua haki zao na kukosa kuwa waadilifu wa nafsi zao. Isipokuwa watu wema walioamini, kwani wao hawadhulumiani, nao ni wachache.» Na Dāwūd akajua kwa yakini kuwa sisi tumemtahini kwa utesi huu, hivyo basi akamuomba msamaha Mola wake, akasujudu kwa kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu na akarejea Kwake na akatubia.Nioneshe Zaburi ya kwenye Qurani.
boss,quran haikaweka mashairi ila imeweka historia kama nilivyokwisha kusema.Nipe Sura moja ya Zaburi ambayo ipo ndani ya kitabu cha Qurani.
sio kitabu kwa ujumla ila ni baadhi ya hadhi na nukuu za maneno.Wewe umekiona wapi hicho kitabu?
Na umejuaje kuwa ni Kitabu ?
Quran iliandikwa mwaka gani?quran imemtaja mtume daudi kwa kutaja hadithi zake na uwezo wake.
Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Anatoa habari kwamba Amewafukuza kutoka kwenye rehema Yake makafiri miongoni mwa Wana wa Isrāīl, kama ilivyoandikwa kwenye kitabu ambacho Mwenyezi Mungu Alikiteremsha kwa Dāwūd, amani imshukie, nacho ni Zaburi, na kwenye kitabu Alichokiteremsha kwa Īsā, amani imshukie, nacho ni Injili, kwa sababu ya kuasi kwao na kuyafanyia uadui kwao mambo Aliyoyatukuza Mwenyezi
Jibu hoja acha matusiTatizo lako ni ujinga unakusumbua
Kulikuwa na haja gani ya kuletwa manabii au mitume baada ya manabii au mitume waliokuwepo kuondoka?
Nabii akiondoka basi ustaarabu/dini aliyoifundisha inapotea watu wanarudi katika ujinga na ukafiri hivyo analetwa nabii mwimgine Kuja kusafishwa.
Akili ya darasa la pili B tu, Nyerere alikuwa raisi miaka ya 60s mpaka early 80s
Wakati huo barabara, majengo, viwanda nk vilikuwepo ila bado 2025 Samia anaendelea kuimarisha vitu hivyo hivyo
MAKAFIRI MWEZI HUU MMEANDAA THREAD NYINGI ZA KUUPONDA UISLAMU ILA ZOTE UTOPOLO
UKIUKOSOA UISLAMU EITHER UWE MJINGA WA UISLAMU AU KIBURI TU ( UKAZE NATI ZA FUVU)
Nimekiona mnakibebabeba kwenda kanisani wakati hakuna maandiko yoyote yanayotambua kuna kitabu kinachoitwa bibliaWewe umekiona wapi hicho kitabu?
Na umejuaje kuwa ni Kitabu ?
Jibu hoja acha maTatizo lako ni ujinga unakusumbua
Kulikuwa na haja gani ya kuletwa manabii au mitume baada ya manabii au mitume waliokuwepo kuondoka?
Nabii akiondoka basi ustaarabu/dini aliyoifundisha inapotea watu wanarudi katika ujinga na ukafiri hivyo analetwa nabii mwimgine Kuja kusafishwa.
Akili ya darasa la pili B tu, Nyerere alikuwa raisi miaka ya 60s mpaka early 80s
Wakati huo barabara, majengo, viwanda nk vilikuwepo ila bado 2025 Samia anaendelea kuimarisha vitu hivyo hivyo
MAKAFIRI MWEZI HUU MMEANDAA THREAD NYINGI ZA KUUPONDA UISLAMU ILA ZOTE UTOPOLO
UKIUKOSOA UISLAMU EITHER UWE MJINGA WA UISLAMU AU KIBURI TU ( UKAZE NATI ZA FUVU)
Usidandie comment isiyokuhusu maana hautaielewa utaishia kuuliza yapiMaandiko yapi?
Quran imeandikwa na nani?boss,quran haikaweka mashairi ila imeweka historia kama nilivyokwisha kusema.
Kama biblia siyo kitabu cha kitapeli basi leta andiko linalotambua kuna kitabu kinachoitwa biblia , usipoleta andiko maana yake biblia ni kitabu cha kitapeli🚮
Kitabu cha kitapeli unakijua wewe.
Itakuwa ni cha ile dini iliyoanzishwa na wakatoliki halafu ikajiita ya haki
Surah Al-Imran Ayat 64( Quran 3:64)Usidandie comment isiyokuhusu maana hautaielewa utaishia kuuliza yapi
Wewe usihamishe mada nimekupa kazi ya kuleta andiko linalotambua kuwa kuna kitabu cha kitapeli kinachoitwa biblia , hiyo ndo homework yako endelea kutafuta jibu ukikosa sema umekosa.
Unaulizaje uwepo wa kitabu ambacho hakipo ?sio kitabu kwa ujumla ila ni baadhi ya hadhi na nukuu za maneno.
Ni vizuri ukaandika ni mifano ndugu msomi!Kati ya dini zote zilizopo duniani, uislamu ndio dini ya hovyo zaidi. Imejaa uongo uongo mwingi na sheria za kijinga kijinga, kama ni mtu unaye think deep huwezi kuwa muislamu
Alikibeba nani ?Nimekiona mnakibebabeba kwenda kanisani wakati hakuna maandiko yoyote yanayotambua kuna kitabu kinachoitwa biblia
Andiko gani?Kama biblia siyo kitabu cha kitapeli basi leta andiko linalotambua kuna kitabu kinachoitwa biblia , usipoleta andiko maana yake biblia ni kitabu cha kitapeli