antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 49,804
- 130,764
Tafsiri halisi ya kafiri hii hapa..Muislam hawezi kuwa kafiri Kama unabisha muulize Bibi yako kafiri ni nani uone kama atakwambia ni waislam.
Yuda 1:14
“Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo”