Dr Adam Francis
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 464
- 687
Rostam alinyamazishwa na sasa Wasira. Tusubiri mwingine ajitie kimbelembele front kumjibu Polepole.Naona anawasha moto kwa stages huku wananzengo wakikoleza kuni mitandaoni, baadhi nguo zimeanza kuungua nyeti zimeanza kuonekana. Let’s keep watching.
One by one, mpaka huyo Muajemi ameajiri vijitu mitandaoni kufanya counterattacks lakini Slowslow hapoi. Goodness huko chamani kuna mpasuko.Rostam alinyamazishwa na sasa Wasira. Tidbits mwingine ajitie kimbelembele front kumjibu Polepole.
Polepole amesema dose itakua once a week.One by one, mpaka huyo Muajemi ameajiri vijitu mitandaoni kufanya counterattacks lakini Slowslow hapoi. Goodness huko chamani kuna mpasuko.
Dawa ni chungu lakini inatibu, acha aendelee kutoa dosage.Polepole amesema dose itakua once a week.
Msoga ameamua kukaa kimya kwa haya ya Polepole.Dawa ni chungu lakini inatibu, acha aendelee kutoa dosage.
Anajua anasubiriwa kwa hamu, akijichanganya jamaa atafungua encyclopedic knowledge ya muhuni wa Msoga na kila mtu atabaki mdomo wazi. Yule bingwa ana containers za mauchafu na ambayo bado anaendelea nayo, he has a lot at stake hivyo anaogopa kujichanganya.Msoga ameamua kukaa kimya kwa haya ya Polepole.
We mbwa usiyemjua ht babako ni wa kumtukana mzee km huyo? Uwe na adabu we kima
Hapa hata mimi naona mbwa wa kwana ni wasira ukafuata wew,yule mzee ana kipi sahizi cha maana.We mbwa usiyemjua ht babako ni wa kumtukana mzee km huyo? Uwe na adabu we kima
inasemekana alifika hapo alipo kwa mambo ya ULOZI yeye alishawahi kuukumbatia ule mbuyu pale oysterbay nchana kweupe akiwa uchi kabisa. hata wachina wa Mwendokasi ilibidi waukwepe. mchawi sana wasiraMze Wasira ni mtu wa hovyo mno, bungeni kazi yake ilikuwa ni kulała tu huku akijamba hovyo na kutokwa na miudenda tu, kwa siku pale Dodoma alikuwa analala na machangu wawili huku akiwa hana lolote la maana analochangia kwa ajili ya wananchi wake. Mze Wasira ni mnafiki wa asili kama Mżę Makamba na ndiyo maana CCM wanamtumia.
Kumjibu huyu kijana unapaswa usiwe na makandokando ndani na nje ya hicho chama chao.Rostam alinyamazishwa na sasa Wasira. Tidbits mwingine ajitie kimbelembele front kumjibu Polepole.
Chalamila alijaribu akaona mkono wake uko hatarini kuungua.Kumjibu huyu kijana unapaswa usiwe na makandokando ndani na nje ya hicho chama chao.
Ndiyo maana hata vimbelembele akina Bashite,Chalamila n.k wamekauka kama hawamsikii.
Shida yako unafikiria kuwa kila aliyrfanikowa lazima atokane na rushwa na ajira za upendeleo.Polepole masikini uso umempauka kwa kujitia presha. Kusha ona hakuna anaempa heshima Tena.
Rudi kwa mama umuabgukie miguuni upate radhi. Vinginevyo ni uchizi tu