Wasiokubali Uteuzi wa Rais Samia, 2025,Je ni Wanapinga Mchakato au Wanateswa na Mfumo Dume Wana Shaka na Uwezo Mwanamke? Angekuwa Mwanaume Wangepinga?

Wasiokubali Uteuzi wa Rais Samia, 2025,Je ni Wanapinga Mchakato au Wanateswa na Mfumo Dume Wana Shaka na Uwezo Mwanamke? Angekuwa Mwanaume Wangepinga?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
57,101
Reaction score
128,716
Wanabodi

Huu ni uzi wa swali, hawa watu haswa humu mitandaoni, ambao hawakubaliani na uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM kuwapitisha Rais Samia na rais Mwinyi kuwa wagombea wa urais wa CCM kwa uchaguzi wa 2025 kwa Tanzania Bara na Visiwani, je wanachopinga ni
mchakato ulioikiuka katiba ya CCM au wanateswa na mfumo dume kwa kuwa na mashaka na uwezo wa mwanamke? Mbona wanamsakama tuu Rais Samia, sijawasikia wakimsakama rais Mwinyi?!, hii inamaanisha kama mgombea angekuwa mwanaume wangepinga?.

Niliwahi kutoa hoja hizi humu kuhusu uwezo wa mwanamke

The real issue ya pingamizi kwa Rais Samia ni nini haswa?.

Paskali
 
Wanabodi

Huu ni uzi wa swali, hawa watu haswa humu mitandaoni, ambao hawakubaliani na uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM kuwapitisha Rais Samia na rais Mwinyi kuwa wagombea wa urais wa CCM kwa uchaguzi wa 2025 kwa Tanzania Bara na Visiwani, je wanachopinga ni
mchakato ulioikiuka katiba ya CCM au wanateswa na mfumo dume kwa kuwa na mashaka na uwezo wa mwanamke? Mbona wanamsakama tuu Rais Samia, sijawasikia wakimsakama rais Mwinyi?!, hii inamaanisha kama mgombea angekuwa mwanaume wangepinga?.

Niliwahi kutoa hoja hizi humu kuhusu uwezo wa mwanamke

The real issue ya pingamizi kwa Rais Samia ni nini haswa?.

Paskali
Hapana, hata Standard imeshashushwa. Standard ya Nchi hii ilianza kupungua tangu Nyerere alivyon'atuka. Akaja Mkapa ikapanda kidogo, alipoingia Mkwere nchi kwisha kabisa imekuwa kabisa hakuna Standard, imedharauliwa hata na Kagame, bwana mdogo!!!!!!
 
Wanabodi

Huu ni uzi wa swali, hawa watu haswa humu mitandaoni, ambao hawakubaliani na uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM kuwapitisha Rais Samia na rais Mwinyi kuwa wagombea wa urais wa CCM kwa uchaguzi wa 2025 kwa Tanzania Bara na Visiwani, je wanachopinga ni
mchakato ulioikiuka katiba ya CCM au wanateswa na mfumo dume kwa kuwa na mashaka na uwezo wa mwanamke? Mbona wanamsakama tuu Rais Samia, sijawasikia wakimsakama rais Mwinyi?!, hii inamaanisha kama mgombea angekuwa mwanaume wangepinga?.

Niliwahi kutoa hoja hizi humu kuhusu uwezo wa mwanamke

The real issue ya pingamizi kwa Rais Samia ni nini haswa?.

Paskali
Mkuu Mayalla, you aren’t green; una uzoefu wa kutosha wa uendeshaji wa vikao. Hivi kwenye kikao ni nani anayeweza kuruhusu au kuzuia mjadala wa kitu ambacho hakimo kwenye agenda? Tunashughulika na aliyeruhusu foul play!
 
Wanabodi

Huu ni uzi wa swali, hawa watu haswa humu mitandaoni, ambao hawakubaliani na uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM kuwapitisha Rais Samia na rais Mwinyi kuwa wagombea wa urais wa CCM kwa uchaguzi wa 2025 kwa Tanzania Bara na Visiwani, je wanachopinga ni
mchakato ulioikiuka katiba ya CCM au wanateswa na mfumo dume kwa kuwa na mashaka na uwezo wa mwanamke? Mbona wanamsakama tuu Rais Samia, sijawasikia wakimsakama rais Mwinyi?!, hii inamaanisha kama mgombea angekuwa mwanaume wangepinga?.

Niliwahi kutoa hoja hizi humu kuhusu uwezo wa mwanamke
- Pre GE2025 - Samia mitano tena sio kwasababu ni Mwanamke! Ni kielelezo cha Uwezo wa Mwanamke katika Uongozi

The real issue ya pingamizi kwa Rais Samia ni nini haswa?.

Paskali
Ww jamaa unajionaga ni great thinker mtu makini ila nakwambia ukweli kuwa wewe ni KILAZA kama huyo unaemzungumzia hapo.
 
Wanabodi

Huu ni uzi wa swali, hawa watu haswa humu mitandaoni, ambao hawakubaliani na uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM kuwapitisha Rais Samia na rais Mwinyi kuwa wagombea wa urais wa CCM kwa uchaguzi wa 2025 kwa Tanzania Bara na Visiwani, je wanachopinga ni
mchakato ulioikiuka katiba ya CCM au wanateswa na mfumo dume kwa kuwa na mashaka na uwezo wa mwanamke? Mbona wanamsakama tuu Rais Samia, sijawasikia wakimsakama rais Mwinyi?!, hii inamaanisha kama mgombea angekuwa mwanaume wangepinga?.

Niliwahi kutoa hoja hizi humu kuhusu uwezo wa mwanamke
- Pre GE2025 - Samia mitano tena sio kwasababu ni Mwanamke! Ni kielelezo cha Uwezo wa Mwanamke katika Uongozi

The real issue ya pingamizi kwa Rais Samia ni nini haswa?.

Paskali
Dah, leo hujaandika gazeti!

Anyways, hata kama unajisimika, fuata hata kajitabu ka CCM kanasemaje, sio hadi na wenzako wanakushtukia, alafu wakihoji unawanyofoa toka kwenye kajichama kenu!
 
Wanabodi

Huu ni uzi wa swali, hawa watu haswa humu mitandaoni, ambao hawakubaliani na uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM kuwapitisha Rais Samia na rais Mwinyi kuwa wagombea wa urais wa CCM kwa uchaguzi wa 2025 kwa Tanzania Bara na Visiwani, je wanachopinga ni
mchakato ulioikiuka katiba ya CCM au wanateswa na mfumo dume kwa kuwa na mashaka na uwezo wa mwanamke? Mbona wanamsakama tuu Rais Samia, sijawasikia wakimsakama rais Mwinyi?!, hii inamaanisha kama mgombea angekuwa mwanaume wangepinga?.

Niliwahi kutoa hoja hizi humu kuhusu uwezo wa mwanamke

The real issue ya pingamizi kwa Rais Samia ni nini haswa?.

Paskali
the real issues are: udini, uzanzibar, na jinsia ndivyo vinavyotawala hapa.

Unaona hata wanawake walivyojitokeza mitandaoni na kuwa mabingwa wa kumtusi? Ndiyo mana tukasema adui ya mwanamke ni mwanamke mwenyewe.
 
Wanabodi

Huu ni uzi wa swali, hawa watu haswa humu mitandaoni, ambao hawakubaliani na uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM kuwapitisha Rais Samia na rais Mwinyi kuwa wagombea wa urais wa CCM kwa uchaguzi wa 2025 kwa Tanzania Bara na Visiwani, je wanachopinga ni
mchakato ulioikiuka katiba ya CCM au wanateswa na mfumo dume kwa kuwa na mashaka na uwezo wa mwanamke? Mbona wanamsakama tuu Rais Samia, sijawasikia wakimsakama rais Mwinyi?!, hii inamaanisha kama mgombea angekuwa mwanaume wangepinga?.

Niliwahi kutoa hoja hizi humu kuhusu uwezo wa mwanamke
-

The real issue ya pingamizi kwa Rais Samia ni nini haswa?.

Paskali
Kabla ya kujibu hili swali, sisi Tunahitaji kwanza yeye Mwenyewe Samia apitie mchakato HALALI .
 
Nimesikitika sana, Pasco umakata tamaa! Kweli wewe ni wa kushindwa kuchukua fomu pale Kawe! Nimesikitika sana.
 
Hata kabla sijasoma content (nimesoma heading pekee) na kabla hata hatujaongelea legality na Kanuni kuvunjwa je Kutokukubali Uteuzi wa mtu fulani ni Kosa katika Taasisi ya Ki Demokrasia ?
 
Wanabodi

Huu ni uzi wa swali, hawa watu haswa humu mitandaoni, ambao hawakubaliani na uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM kuwapitisha Rais Samia na rais Mwinyi kuwa wagombea wa urais wa CCM kwa uchaguzi wa 2025 kwa Tanzania Bara na Visiwani, je wanachopinga ni
mchakato ulioikiuka katiba ya CCM au wanateswa na mfumo dume kwa kuwa na mashaka na uwezo wa mwanamke? Mbona wanamsakama tuu Rais Samia, sijawasikia wakimsakama rais Mwinyi?!, hii inamaanisha kama mgombea angekuwa mwanaume wangepinga?.

Niliwahi kutoa hoja hizi humu kuhusu uwezo wa mwanamke

The real issue ya pingamizi kwa Rais Samia ni nini haswa?.

Paskali
Acha kujipendekeza wewe, Nyiye ndio mnaofanya nchi hii ionekane ya kijinga sana.
 
Najua kuna watu watanuna kwa sababu kuna watu wamezaliwa hivyo kwa hiyo siwezi kushtuka nyie wa kununa tunawajua.
KIUKWELI UNAPOICHUKUA TANZANIA UKALINGANISHA NA TAKRIBANI ZAIDI YA 60% YA NCHI ZA BARA LA AFRIKA , TANZANIA TUMEPIGA HATUA KUBWA SANA, NARUDIA TENA UNAPOILINGANISHA NA NCHI ZINGINE ZA AFRIKA; KWA MFANO, MIFUMO YA UKUSANYI KODI TUMEJITAHIDI SANA KAMA NCHI, MIUNDO MBINU TUMEPIGA HATUA, UPENDO TUNAO WA KUTSHA HADI MAJIRANI WANAWEWESEKA, ANGA LETU NI BYE BYE; N.K NA NK. KWA UCHACHE,
LKN;
NARUDIA MANENO YA HAYATI JPM KWAMBA TZ ILIPASWA KUWA DONOR COUNTRY, Maneno haya ni ya kweli kwa sababu ya rasilimali tulizowekewa na Alla kiujumla tungekua mbali sana. Kwa sasa nchi zote za afrika wangekua wanakuja kula bata TZ that means value for the resources tulizonazo ni dhahiri kwamba kuna sehemu mambo hayaendi sawa, kuna sehemu huenda kuna mifareji inapitisha maji ya kutoka mlima kilimanjaro.
 
the real issues are: udini, uzanzibar, na jinsia ndivyo vinavyotawala hapa.

Unaona hata wanawake walivyojitokeza mitandaoni na kuwa mabingwa wa kumtusi? Ndiyo mana tukasema adui ya mwanamke ni mwanamke mwenyewe.
These claims are premature at best and a deflection at worst.

Ukweli utabaki kuwa ukweli—huyo kenge aliruhusu kuvunjwa kwa taratibu za Chama ili kujinufaisha! Vinginevyo kulikuwa na sababu gani za kupindisha taratibu za Chama?
 
NARUDIA MANENO YA HAYATI JPM KWAMBA TZ ILIPASWA KUWA DONOR COUNTRY, Maneno haya ni ya kweli kwa sababu ya rasilimali tulizowekewa na Alla kiujumla tungekua mbali sana. Kwa sasa nchi zote za afrika wangekua wanakuja kula bata TZ that means value for the resources tulizonazo ni dhahiri kwamba kuna sehemu mambo hayaendi sawa, kuna sehemu huenda kuna mifareji inapitisha maji ya kutoka mlima kilimanjaro.
Hebu tueleze ni nchi gani Africa imekuwa donor country (ondoa South Africaa ambayo bado weupe wanatawala).
 
These claims are premature at best and a deflection at worst.

Ukweli utabaki kuwa ukweli—huyo kenge aliruhusu kuvunjwa kwa taratibu za Chama ili kujinufaisha! Vinginevyo kulikuwa na sababu gani za kupindisha taratibu za Chama?
kenge ni nani, hebu kuwa na heshima hata kama humpendi.
 
Back
Top Bottom