kitu ambacho nimeshindwa kuelewa, wamefikaje huko australia na kuanza kuiba? i mean, australia siyo tu kwamba ni mbali bali pia ni kisiwa ambacho kiko pacific huko na asia na kupata viza ya australia kutokea afrika ni ishu kwanza hata ubalozi tu wa australia nchi nyingi haupo, ina maana kwa logic ya kawaida muafrika anayeweza kufika huko atakuwa na level fulani ya kimaisha na kwa hali ya kawaida hawezi kwenda kupora duka kuiba bia na washikaji, hapo ndipo sijaelewa kabisa, mfano afrika kusini kuna waafrika wengi wanavuka tu boda hata wale vibaka lkn australia, how ? …