Wasioamini uwepo wa Mungu watazidi kuongezeka

Wasioamini uwepo wa Mungu watazidi kuongezeka

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
6,527
Reaction score
11,694
Au inatakiwa watu wateseke kiasi gani ndio Mungu aje kuwasaidia??
1000163609.jpg
 
Au inatakiwa watu wateseke kiasi gani ndio Mungu aje kuwasaidia??
View attachment 3485166
Bob Marley alivyojua haponi cancer yake alilia na kumuuliza Mungu kwa nini anamuua yeye wakati yeye alijiona ameishi kwa peace, love and justice duniani.

Ukikubali Mungu hayupo, tumejitungia tu hadithi kwamba yupo, haya mambo yote yana make sense.

Unaelewa kwa nini watu wazuri wanakufa, kwa nini watu wanakufa at all.

Ukiamini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwe,o wote na upendo wote yupo, utapata tabu sana kuelwzea the problem of evil, kwa nini Mungu huyo kaumba ulimwengu unaoruhusu mabaya kufanyika.
 
Kwani kazi yake Mola si haina makosa
Hizo methali za Kiswahili tu za kujifariji hapa utaambiwa "Haraka haraka haina baraka", kule utaambiwa "Ngoja ngoja huumiza matumbo".

Hayo ni maneno ya faraja ya kiutamaduni tu ukipata mtoto mwenye kilema usijisikie vibaya.

Haona maana Mungu yupo.

Mungu angekuwapo hata kazi asingefanya.
 
Hizo methali za Kiswahili tu za kujifariji hapa utaambiwa "Haraka haraka haina baraka", kule utaambiwa "Ngoja ngoja huumiza matumbo".

Hayo ni maneno ya faraja ya kiutamaduni tu ukipata mtoto mwenye kilema usijisikie vibaya.

Haona maana Mungu yupo.

Mungu angekuwapo hata kazi asingefanya.
Halafu ni misemo inayopaswa kutumika katika context.
 
Hizo methali za Kiswahili tu za kujifariji hapa utaambiwa "Haraka haraka haina baraka", kule utaambiwa "Ngoja ngoja huumiza matumbo".

Hayo ni maneno ya faraja ya kiutamaduni tu ukipata mtoto mwenye kilema usijisikie vibaya.

Haona maana Mungu yupo.

Mungu angekuwapo hata kazi asingefanya.

Pia polepole ndio mwendo

Maneno ya faraja ni mengi
Cc Intelligent businessman

Screenshot_20251007-233436_Opera Mini.jpg
 
Back
Top Bottom