Tuanze dini ni Nini, Kisha waamini ni wapi baada ya kuzitamb
Kwa hiyo wasio amini ni kama empty set with regard to ulichoandika, kwa hiyo hawana wanchokiamini hivyo hawastahili kuwa kwenye shughuli za mizimu na vinginevyo vya mfano wake!Dini ni mfumo wa imani, mafundisho, na mazoea ambayo binadamu hutumia kuhusiana na Mungu, miungu, au nguvu ya kiroho, na mara nyingi hujumuisha kanuni za maadili na sheria za kuongoza maisha.
According to google
Society yenyewe ishaanza kuhoji na kutafuta ukweli tangu watoto wanahoji.How do live in the society bro 1% of 1000
Zinaenda kwa mungu. Kuna kanamna hua wanamuingizia kwa tigo yakehivi sadaka zetu zinaendaga wapi?
Katolika ndo thehebu gan hiliNinamwamini Mungu mumoja, Baba Mwenyezi,
Muumba wa mbingu na dunia,
na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.
Ninamwamini Bwana mumoja, Yesu Kristo,
Mwana wa pekee wa Mungu,
amezaliwa na Baba mbele ya kuwa ulimwengu,
Mungu kutoka Mungu, Nuru kwa Nuru,
Mungu kweli kwa Mungu kweli,
amezaliwa, hakuumbwa,
Mwenye umungu mumoja na Baba.
Vitu vyote viliumbwa naye.
Alishuka toka mbinguni,
kwa ajili ya sisi watu,
na kwa ajili ya wokovu wetu;
alitwaa mwili kwa tendo la Roho Mutakatifu,
katika Bikira Maria,
akawa mutu.
Akasulibiwa kwa ajili yetu,
wakati wa Pontio Pilato,
akateswa, akazikwa,
Akafufuka kisha siku tatu,
kama ilivyoandikwa;
akapanda mbinguni,
anakaa kwa mukono wa kuume kwa Baba.
Ndipo atarudi kwa utukufu,
kuwahukumu wazima na wafu,
na ufalme wake hautakuwa na mwisho.
Ninamwamini Roho Mutakatifu,
Bwana na Mutoa uzima,
aliyetoka kwa Baba na Mwana,
anayeabudiwa na kutukuzwa,
pamoja na Baba na Mwana,
aliyesema kwa manabii.
Ninaamini Kanisa, moja, takatifu, katolika,
lililotoka kwa Mitume.
Ninasadikia ubatizo mumoja
kwa kuondolewa kwa zambi.
Ninangojea ufufuko wa wafu
na uzima wa milele utakaokuja. Amina.
SijuiKatolika ndo thehebu gan hili
Hiyo sala uliyoileta hapo umeitoa wapiSijui
UNaona sijuiHiyo sala uliyoileta hapo umeitoa wapi
Unashindwa kumwamini bwana ako (mumeo)Ninamwamini Mungu mumoja, Baba Mwenyezi,
Muumba wa mbingu na dunia,
na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.
Ninamwamini Bwana mumoja, Yesu Kristo,
Mwana wa pekee wa Mungu,
amezaliwa na Baba mbele ya kuwa ulimwengu,
Mungu kutoka Mungu, Nuru kwa Nuru,
Mungu kweli kwa Mungu kweli,
amezaliwa, hakuumbwa,
Mwenye umungu mumoja na Baba.
Vitu vyote viliumbwa naye.
Alishuka toka mbinguni,
kwa ajili ya sisi watu,
na kwa ajili ya wokovu wetu;
alitwaa mwili kwa tendo la Roho Mutakatifu,
katika Bikira Maria,
akawa mutu.
Akasulibiwa kwa ajili yetu,
wakati wa Pontio Pilato,
akateswa, akazikwa,
Akafufuka kisha siku tatu,
kama ilivyoandikwa;
akapanda mbinguni,
anakaa kwa mukono wa kuume kwa Baba.
Ndipo atarudi kwa utukufu,
kuwahukumu wazima na wafu,
na ufalme wake hautakuwa na mwisho.
Ninamwamini Roho Mutakatifu,
Bwana na Mutoa uzima,
aliyetoka kwa Baba na Mwana,
anayeabudiwa na kutukuzwa,
pamoja na Baba na Mwana,
aliyesema kwa manabii.
Ninaamini Kanisa, moja, takatifu, katolika,
lililotoka kwa Mitume.
Ninasadikia ubatizo mumoja
kwa kuondolewa kwa zambi.
Ninangojea ufufuko wa wafu
na uzima wa milele utakaokuja. Amina.
Acha ujinga ipo siku utajua Mungu amekuumba utakapokosa hiyo pumziUnashindwa kumwamini bwana ako (mumeo)
Unamwamini mhaini wa kiyahudi (bwana yesu)
Inasikitisha sana
😅😅Aise uhuniZinaenda kwa mungu. Kuna kanamna hua wanamuingizia kwa tigo yake
Hivi kwanini baadhi ya madhehebu huombea watu na kulipuka mapepo wengn kama wakatoliki hawalipukiMimi sio mpagani
Naamini katika mungu,
Ila siamini kabisa katika dini
sio uhuni.. Sahz huduma za kifedha zimerahisisha mambo. mungu kaacha kufunga safari mwenyewe kufata vibunda. wanampostia tu.í ½í¸í ½í¸Aise uhuni
Panenka hiyo.Malaika hapa umepigaje mzee
Sasa Hela zet huenda wapisio uhuni.. Sahz huduma za kifedha zimerahisisha mambo. mungu kaacha kufunga safari mwenyewe kufata vibunda. wanampostia tu.
Humu ndani hakuna pisi ya kijapani kweli??Natamani nipate pisi ya kijapani.