Wasio na vitambulisho vya uraia kutoruhusiwa kumiliki simu

Yaani kabisa unaona mibaba imevaa suti, imeshiba pamoja na huyo mama...unaweza fikiri wanaenda kuongea point....kumbe na upuuzi mtupu...vitambulisho vya uraia na kumiliki cm wapi na wapi....halafu vitambulisho vyenyewe vingi..mtu una cha kupigia kura una leseni ya udereva...ukiangalia content ni zile zile tu...hivi si bora hata wangeingia kwenye data base ya NEC...wakatumia hizo data kuwatengenezea watu vitambukisho...wakauproad tu....kuliko kukaa wanasumbua raia kwa matamko ya ovyoovyo tu...
 
Kwa maana nyingine kitambulisho ni cha NIDA tu vingine uchafu au mi sijaelewa
 
NIDA hii hii au nyingine tatizo la Hawa watu Sasa hivi wamepoteza kabisa mwelekeo badala yake wanafocus kwenye mambo yasiyo Na tija Na wazi hapa wanatoa matamka haya wakiendeshwa Na siasa kutaka thibiti watu mitandaoni lakini wamesahau kwamba NIDA inauwezo mdogo sana zoezi la vitambulisho Dar tu limesuasua mpaka kero watu wanaandikishwa vitambulisho mpaka Leo hawajapata Na kingine hakuna utaratibu mzuri kwa wale wanaopoteza vitambulisho ama kweli ukianza angalia wengine unapoteza kabisa malengo yako


Mkuu the nature imechukua miaka zaidi ya Trillion 4 ku-form cratures kama sisi. Sasa unategemea nchi ya umasikini kama Tanzania ambayo haijawahi kuwa na system kama hiyo kubadili vitu over night? Kila kitu na wakati wake kwani hao watendaji ni binadam kama wewe na sio machines au robotors.
 
Hahaaaaaaaaaa Tanzania ufala mwingi wamekisahau cha kupigia kura umuhimu wake utakuwa expired tayari au
 
Sheria za ajabu ajabu ambazo zinawapa mianya watu watafute namna ya kuzivunja ili wanufaike. Hakuna nchi yoyote ile duniani ina sheria ya kipuuzi kama hii!

Kumiliki simu na kitambulisho cha uraia wapi na wapi!!!

Mkuu hold on!Wanata uthibiti!Nikuhakikishie tu Tanzania ni nchi mojawapo yenye mianya mingi ikiwemo mtu mmoja kuwa na laini za simu hata 5!Kitu ambacho nchi nyingine ni jambo ambalo haliwezekani!!Sasa nina uhakika wanaelekea kuanza dhibiti na kufanya kuwa na usawa na kuziba mianya yote inayoweza pelekea uhalifu!Ni hilo tu!
Nawasilisha Mkuu BAK
 
Hahah nchi za wenzetu ukifika tu airport unanunua line unaitia kwenye simu unafanya yako.maisha yanaendelea huku kwetu ni mlolongo.ukiritimba.
 
Mkuu hold on!Wanata uthibiti!Nikuhakikishie tu Tanzania ni nchi mojawapo yenye mianya mingi ikiwemo mtu mmoja kuwa na laini za simu hata 5!Kitu ambacho nchi nyingine ni jambo ambalo haliwezekani!!Sasa nina uhakika wanaelekea kuanza dhibiti na kufanya kuwa na usawa na kuziba mianya yote inayoweza pelekea uhalifu!Ni hilo tu!
Nawasilisha Mkuu BAK

Sawa mkuu, sidhani kama kumiliki line zaidi ya moja ni shida, ndio maana kuna ushindani wa biashara wa makampuni ya mitandao ya simu nchini, Airtel,Vodacom,Halotel,TiGO,TTCL nk
 
Katika matamko ya kijinga ni pamoja na hili.
Alianza Mr. Mwakichungwa na marufuku ya kuoa bila cheti cha kuzaliwa,
Akaja yule mwingine hakuna kuoa bila cheti cha form four,
Hawa nao sijui wamekunywa gongo ya wapi wanasema hakuna marufuku ya kutumia simu, kufanya biashara au kupata passport ilihali wameshindwa kusajili ata nusu ya watanzania.
Nasubiri tamko la kukanusha hii taarifa
 
Mimi nimejiandikisha kupata kitambulisho tangu March 2018 lakini hadi sasa hakijatoka. NIDA waache usanii. Wakamilishe zoezi ndipo watoe matamko kama haya. Kwa nini ichukue zaidi ya miezi 6 kabla ya kutoa kitambulisho?
 
Mimi nimejiandikisha kupata kitambulisho tangu March 2018 lakini hadi sasa hakijatoka. NIDA waache usanii. Wakamilishe zoezi ndipo watoe matamko kama haya. Kwa nini ichukue zaidi ya miezi 6 kabla ya kutoa kitambulisho?
Ukiona hivyo uraia wako una utata,
 
Mimi nimejiandikisha kupata kitambulisho tangu March 2018 lakini hadi sasa hakijatoka. NIDA waache usanii. Wakamilishe zoezi ndipo watoe matamko kama haya. Kwa nini ichukue zaidi ya miezi 6 kabla ya kutoa kitambulisho?
Yaan hata Mimi TANGU March hadi Leo... Yaan ubabaishaji mtupu ...hakuna lolote. Au machine YA kuprint IPO moja tu nchi nzima?
 
Back
Top Bottom