Wasikilize Wazanzibar na Muungano - Siasa weka kando

Wasikilize Wazanzibar na Muungano - Siasa weka kando

mhhhh!!!!!!! kazi kwelikweli. Hii nchi hii ni kama haina viongozi
 
Hapo pana tatizo, kuna systeam hawataki kabisa kusikia hiyo kitu wala kasoro za serekali 2.
 
Mkuu Mwiba, nimewasikia mwanzo mwisho!, kuusema ukweli baadhi yao ni vichaa kabisa ila bado hawajaanza kuokota makopo na baada tuu ya kupatikana kwa katiba mpya nakuhakikishia makopo wataokota!.

Kale kakichaa kwa kwanza kanadiriki kumwita yule Mzee , jinsi alivyomuita, hako ka mala ... ka Kinzanzibari ni laana kabisa!. Katakuwa ni kaana haramu kabisa kale!, kalilaaniwa, kaka laanika na hapo kamekuja kumwaga laana tupu. Mlaaniwa huyo laana!, na imuongezekee mara sabaini fii sabaa !.
Pasco
 
mhhhh!!!!!!! kazi kwelikweli. Hii nchi hii ni kama haina viongozi

Sio kama Nchi haina viongozi bali hisia za WaZanzibari zimefika mbali sana ,sababu ambazo zinaifanya CDM kutaka WaTz waachane na CCM ndio hizohizo zinazowafanya WaZanzibari waikatae CCM ila wao wamekuja na style nyingine ambayo ni hatari zaidi kwa uongozi ,umeona pale mwisho imesomwa KATIBA ihusianayo na kutembea kuwa MTz anayohaki ya kutembea ,waliachna na mkutanohapohapo na kuanza kutembea ,pale kama yule jamaa angesema tuende ikulu wangekwenda na wangeweza kufanya lolote lile ,kwani imani ya kidini ni tofauti na imani ya kisiasa.

People's Power ipo Zanzibar na inaweza kutekelezwa anytime ,nakumbuka CUF iliwahi kuitisha ila walichokosea ni kujikusanya kwenye makao yao makuu ,kama wangekusanyika Ikulu leo tungekuwa tunazungumza mengine na zaidi kwa wabara kukataa kuungana na CUF katika kuitikia mwito wa kuiangusha CCM kupitia people s power.
 
People's Power ipo Zanzibar na inaweza kutekelezwa anytime ,nakumbuka CUF iliwahi kuitisha ila walichokosea ni kujikusanya kwenye makao yao makuu ,kama wangekusanyika Ikulu leo tungekuwa tunazungumza mengine na zaidi kwa wabara kukataa kuungana na CUF katika kuitikia mwito wa kuiangusha CCM kupitia people s power.

..lakini CUF[Lipumba, Mtatiro] wanasema wanataka serikali 3.

..pia ni vigumu kuungwa mkono huku Tanganyika ikiwa utakuwa unamsema vibaya Mwalimu Nyerere. yaani ni sawa na kutegemea Wapemba wakuunge mkono huku ukimsema vibaya Maalim Seif Sharrif.

NB:

..hii video ni ya zamani. ningependa kusikia maoni ya wa-ZNZ baada ya tume kutoa mapendekezo ya mfumo wa serikali 3.
 
..lakini CUF[Lipumba, Mtatiro] wanasema wanataka serikali 3.

..pia ni vigumu kuungwa mkono huku Tanganyika ikiwa utakuwa unamsema vibaya Mwalimu Nyerere. yaani ni sawa na kutegemea Wapemba wakuunge mkono huku ukimsema vibaya Maalim Seif Sharrif.

NB:

..hii video ni ya zamani. ningependa kusikia maoni ya wa-ZNZ baada ya tume kutoa mapendekezo ya mfumo wa serikali 3.
Hata CDM niliwahi kuwasikia wakitetea serikali tatu ,wakidai ya Tanganyika ni lazima irudi ,na kama wakitumia turufu hii basi CCM habaki mtu ,usisikie ndugu hakuna kitu kizuri kama mtu kutukuza kwao ,kilichobaki ni uhamasishaji tu ,lakini walio wengi wanaipenda Tanganyika na wanahitaji kujilabu kwa hilo ,

Angalia huku Tanganyika Mtanganyika alie CCM tena kiongozi ,anasema kuunga mkono serikali tatu ,ni binafsi sio anawakilisha Chama na hafanywi kitu na Chama chake kinasema hayo ni mawazo yake binafsi ila upande wa Zanzibar kiongozi akitamka hilo hufukuzwa Chama na huondolewa uongozi na Watanganyika wa CCM walioviongozi huwepo mstari wa mbele kutoa baraka zao ,basi hata hilo waZanzibari linawauma sana ,wanahoji mbona bara kiongozi hafukuzwi ? Hao akina warioba wanasema tena bila ya aibu wa kuogopa na hakuna anaewagusa wala kuwaundia kamati ,wanaowalaumu hubakia kama mbwa koko kupiga makelele pembeni lakini hawana ubavu ,wanabaki kubweka tu !
 
Hawa simba( uamsho) nawakubali sana,kwa sasa wamepumzishwa ila wakirudi tena lazima ukoloni mweusi uhame zanzibr.
 
Mkuu Mwiba, nimewasikia mwanzo mwisho!, kuusema ukweli baadhi yao ni vichaa kabisa ila bado hawajaanza kuokota makopo na baada tuu ya kupatikana kwa katiba mpya nakuhakikishia makopo wataokota!.

Kale kakichaa kwa kwanza kanadiriki kumwita yule Mzee , jinsi alivyomuita, hako ka mala ... ka Kinzanzibari ni laana kabisa!. Katakuwa ni kaana haramu kabisa kale!, kalilaaniwa, kaka laanika na hapo kamekuja kumwaga laana tupu. Mlaaniwa huyo laana!, na imuongezekee mara sabaini fii sabaa !.
Pasco

Wewe Pasco why you interfere.with Zanzibar affairs, yourself is a cursed one too. Why were you sacked from your duty in TBC.

You should respect them it is their right to be free of the Tanganyika pseudo union Hegemony. You yourself could be that devil incarnate to Zanzibaris.:thumbdown::thumbdown::thumbdown:
 
Last edited by a moderator:
Hivi hawa Wanzanzibar wanajiamini nini huku hawa-trust in uzazi wa mpango!Hivyo visiwa itakuwa ni balaa tupu baadae!
 
Hivi hawa Wanzanzibar wanajiamini nini huku hawa-trust in uzazi wa mpango!Hivyo visiwa itakuwa ni balaa tupu baadae!

Acha umbulula,hayo ni maoni ya wazbri,kama vp itafute tanganyika yako ilipo.
 
Wewe Pasco why you interfere.with Zanzibar affairs, yourself is a cursed one too. Why were you sacked from your duty in TBC.

You should respect them it is their right to be free of the Tanganyika pseudo union Hegemony. You yourself could be that devil incarnate to Zanzibaris.:thumbdown::thumbdown::thumbdown:
Punjabi Singi!, wewe mesikia yule chagiaji ya kwanja vile mesema kusu Malimu?!. Iko sava?!.
Pasco
 
Mtoto akililia wembe mpe
Mie sioni sababu yoyote kwamba kukiwa na na serikali 3 CCM itakufa. Ninachokubali na kukiona ni kweli CCM Zanzibar itakufa. CCM Tanganyika ama serikali Tanganyika hawanufaiki kwa lolote kwa kuendelea kuushikilia muungano zaidi ya kupata hasara tu. Kwa nini muungano umeshakiliwa mie nina nafikiri ni sababu mbili tu :

1. CCM Zanzibar (Wazanzibar) ndo wanawatongoza CCM Tanganyika wasivunje muungano
2. Serikali za magharibi zinawalazimisha viongozi kushikilia muungano, kwa wamagharibi kuwa na hisia tofauti kwa Zanzibar huru, naamini hofu zao sio sahihi, lakini wanaamini Zanzibar huru inaweza geuka kuwa na wana mgambo wa Talabani ama kugeuka kama Somalia.
 
..lakini CUF[Lipumba, Mtatiro] wanasema wanataka serikali 3.

..pia ni vigumu kuungwa mkono huku Tanganyika ikiwa utakuwa unamsema vibaya Mwalimu Nyerere. yaani ni sawa na kutegemea Wapemba wakuunge mkono huku ukimsema vibaya Maalim Seif Sharrif.

NB:

..hii video ni ya zamani. ningependa kusikia maoni ya wa-ZNZ baada ya tume kutoa mapendekezo ya mfumo wa serikali 3.

Hicho ulichokiona ndio maoni ya Wazanzibari walio wengi.
 
Mkuu Mwiba, nimewasikia mwanzo mwisho!, kuusema ukweli baadhi yao ni vichaa kabisa ila bado hawajaanza kuokota makopo na baada tuu ya kupatikana kwa katiba mpya nakuhakikishia makopo wataokota!.

Kale kakichaa kwa kwanza kanadiriki kumwita yule Mzee , jinsi alivyomuita, hako ka mala ... ka Kinzanzibari ni laana kabisa!. Katakuwa ni kaana haramu kabisa kale!, kalilaaniwa, kaka laanika na hapo kamekuja kumwaga laana tupu. Mlaaniwa huyo laana!, na imuongezekee mara sabaini fii sabaa !.
Pasco

Word Pasco
 
Mkuu Mwiba, nimewasikia mwanzo mwisho!, kuusema ukweli baadhi yao ni vichaa kabisa ila bado hawajaanza kuokota makopo na baada tuu ya kupatikana kwa katiba mpya nakuhakikishia makopo wataokota!.

Kale kakichaa kwa kwanza kanadiriki kumwita yule Mzee , jinsi alivyomuita, hako ka mala ... ka Kinzanzibari ni laana kabisa!. Katakuwa ni kaana haramu kabisa kale!, kalilaaniwa, kaka laanika na hapo kamekuja kumwaga laana tupu. Mlaaniwa huyo laana!, na imuongezekee mara sabaini fii sabaa !.
Pasco

mkuu PASKO

futa kauli duh ngumu kumeza wanakuja...........
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom