Hilo andiko lote linaloitwa "wasifu" likichambuliwa kwa mpangilio sahihi utagundua kuwa taarifa yote ni mchanganyiko usiokuwa na maana sana. Ni kama semina/makongamano nayo yamewekwa kuonyesha kuwa kasoma kozi kamili.Gundua kuwa wengi waliofoji miaka ya kuzaliwa huanzia na mwezi January, huyu naye ni hivyo hivyo!.
Angalizo: Mtu amezaliwa mwaka 1960 anadai ameanza darasa la kwanza mwaka 1966? ... Wakati huo mtoto bila kuwa na miaka saba kamili huruhusiwi kuanza darasa la kwanza.