kalukamise
JF-Expert Member
- May 4, 2011
- 683
- 191
Bashe ananikumbusha marehemu Filikunjombe...
Siasa ni uongoHivi kwanini wanasiasa huwa wanamchukia mtu anayesema ukweli?
nani wako nyuma yake ndio issue.Tatizo ccm wanaona jamaa ni msaliti maana.
Ili ukubalike ndani ya ccm unatakiwa uwe na akili kama kibajaji au waziri aliyechukua nafasi ya Nape.
Ukikaa kimya watu wata doubt ujinga wako lakini umeamua kuongea basi tume confirm.Hebu we kilaza tuambie uzee unaanzia miaka mingapi?
Tungekuwa na vijana kumi kama hawa
Wabunge wa CCM wakiwa mia ni bora ya mtoto wa nursery ana akili maana wao huambukiza ujinga wa ndiooo na kuzomeaJamaa hajawahi kuniangusha na hoja zake,akili za Bashe ni sawa na akili za wabunge mia wa Fisiemu
Ajieleze kwenye kamati kuu, kwani amekosa nnHii yote juu ya nini?lazima atajieleza tu kamati kuu ni wiki hii
Hakuna Mtu mzima au kipande sijui kijana,ni wazungu ndo wanatuchezesha akili na kalenda zao.Ukweli ni kwamba mwili unachoka na si kuzeeka,yaani kama gari alizeeki Bali linachoka, ndivyo ulivyo mwili.Wengine watasema kuchoka ndio kuzeeka hilo si abadani.Najaribu kuwaza kwa sauti.Mtu mzima
Huyu alikuwa ni mbunge bungeni na kiongozi jimboni kwake, ni mfano bora wa kuigwa.RIP DEO filikunjombe
NotedHakuna Mtu mzima au kipande sijui kijana,ni wazungu ndo wanatuchezesha akili na kalenda zao.Ukweli ni kwamba mwili unachoka na si kuzeeka,yaani kama gari alizeeki Bali linachoka, ndivyo ulivyo mwili.Wengine watasema kuchoka ndio kuzeeka hilo si abadani.Najaribu kuwaza kwa sauti.