Wasifu wa Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe

Wasifu wa Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe

I realy like Mh Hussein Mohamed Bashe ,ningependa uwe waziri wa viwanda na Biashara am 100% sure you will the best minister in Tanzania, God Bless you Brother keep it up,
 
Tatizo ni kwamba
  • Mawazo yake hayapokelewi na kufanyiwa kazi na watendaji
  • Anachukuliwa kama threat badala ya brain
  • Akipewa post ...anapigwa Tanganyika jeki na utendaji unaanzia hapo kunafifia
Kwel kabsa mkuu
 
Namkubali huyu jamaa uchama kauweka pembeni, akiendelea hivi hivi ndio atakuwa mbunge Wang wa awamu hii ya magufuli. Big up kwake
 
bashe kama ni mchezaji anakaribia kumkuta MAKELELE yaani unapora mpira na kushambulia utasikia lampardiiiiiiii
 
Bashe kabla ya kuchangia huwa anasoma Bluebooks mpaka Beige books.

Halafu namhurumia kwa sababu ni Churchillian backbencher katika nchi ambayouongozi wake haujui umuhimu wa Churchillian backbenchers.
 
Bashe ndio aina ya watu wa kupewa Phd za heshma si wale 'profesa Mkweli'
 
Back
Top Bottom