Wasifu wa marehemu

Digaller

JF-Expert Member
Oct 20, 2009
745
427
  • Marehemu amesoma mpaka chekechea.
  • alipofikisha umri wa miaka 18 marehemu alijiunga na kundi la ujambazi.
  • marehemu kafa kwa ngoma.
Mungu amlaze Jehanum..........!!! Je kuna jirani yako wasifu kama huo?
 
ndugu watachakachua iwe kinyume chake.tangu nianze kuzika cjaskia m2 kafa kwa ngoma.
 
tunashukuru mola umemtwaa huyu marehemu alikuwa kero mtaani hatuaniki nguo nje..
eeh mungu umchome moto kabisa tumsahau..
 
Back
Top Bottom