Digaller JF-Expert Member Oct 20, 2009 745 427 Jan 15, 2011 #1 Marehemu amesoma mpaka chekechea. alipofikisha umri wa miaka 18 marehemu alijiunga na kundi la ujambazi. marehemu kafa kwa ngoma. Mungu amlaze Jehanum..........!!! Je kuna jirani yako wasifu kama huo?
Marehemu amesoma mpaka chekechea. alipofikisha umri wa miaka 18 marehemu alijiunga na kundi la ujambazi. marehemu kafa kwa ngoma. Mungu amlaze Jehanum..........!!! Je kuna jirani yako wasifu kama huo?
Good Guy JF-Expert Member Oct 24, 2010 3,809 1,406 Jan 15, 2011 #2 Dah noma,msiba wenyewe mpaka hapo hauna mtu hata m1
kiraia JF-Expert Member Nov 20, 2007 1,716 999 Jan 18, 2011 #5 Anayesoma wasifu lazima nae awe jambazi
M Mabel JF-Expert Member Sep 1, 2010 1,273 678 Jan 18, 2011 #6 kiraia said: Anayesoma wasifu lazima nae awe jambazi Click to expand... Kwenye misiba ambayo masela wanashiriki mwanzo mwisho kumzika msela mwenzao haya yapo.
kiraia said: Anayesoma wasifu lazima nae awe jambazi Click to expand... Kwenye misiba ambayo masela wanashiriki mwanzo mwisho kumzika msela mwenzao haya yapo.
TUKUTUKU JF-Expert Member Sep 14, 2010 11,765 4,033 Jan 18, 2011 #7 wikama said: haya yapo kweli au ndo dunia imekwisha ? Click to expand... Mkuu kuna watu hapa dunia wana historia inayofanana na hii kwa karibu!!
wikama said: haya yapo kweli au ndo dunia imekwisha ? Click to expand... Mkuu kuna watu hapa dunia wana historia inayofanana na hii kwa karibu!!
Ernie JF-Expert Member Aug 3, 2010 217 23 Jan 18, 2011 #8 Jamani kamam hiyo ndio historia yake sasa wataandika nini?
K kev Senior Member Nov 12, 2010 119 10 Jan 18, 2011 #9 ndugu watachakachua iwe kinyume chake.tangu nianze kuzika cjaskia m2 kafa kwa ngoma.
Inkoskaz JF-Expert Member Nov 6, 2010 6,372 2,374 Jan 18, 2011 #10 tunashukuru mola umemtwaa huyu marehemu alikuwa kero mtaani hatuaniki nguo nje.. eeh mungu umchome moto kabisa tumsahau..
tunashukuru mola umemtwaa huyu marehemu alikuwa kero mtaani hatuaniki nguo nje.. eeh mungu umchome moto kabisa tumsahau..
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Jan 18, 2011 #11 Tehe tehe tehe. Mungu amlze pema pepon hata km amekfa kw ngoma.