Wasifu wa Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi au Klynn

Du umri wake na muenekano wake haundani mtoto bado mbichi kama ana miaka 20.mwaaaa jack
 
Ungeozea alifanya kazi ktk kampuni ya kamali ya lotto Olympic
Ilikuwa inamilikiwa na mbulgaria mmoja alikuwa mtu mmja matata sana?
Ngoja niishie hpo......

Ova
 
Yaani mtoto wa dr bingwa aishie la saba B, au sio mtoto halali wa Doctor
Ina maana hakusoma tena baada ya kuhitimu darasa la saba?
Kidhungu alijifunzia wapi kwani kimenyoooka hasa katika uandishi kwa IG au google search.
Atakuwa alisoma zaidi ya darasa la Saba mweh!
ha ha ha ha ha kumbe elimu yake lasaba B
Alisoma msingi na sekondari Forodhani.
Hapana..mi naona ana damu ya kizungu huyu..
Hata nywele zake ni laini kama za wazungu
Mama yake alikuwa chotara.
Angekua na kiu ya elimu angesoma baada ya kuwa mrs shuga daddy
Jacky hakuwa anapenda sana shule.
nawajua vizuri sisemi kwa ubaya .. dada yake alikuwa anaishi kwangu, na sasa ni marehemu . watusi wa manyovu wanasemekana ni waha lakini kama ujuavyo watu wa mipakani tena. nafikiri hata dereva wa mkuu wa mkuu wa mkoa wa kigoma ni ndugu yake pia . ndugu emili .
Baba yake alikuwa ni muha hasa.
 
View attachment 1087566
Jacqueline Ntuyabaliwe (Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi) ambaye pia anajulikana kama K-Lyn alizaliwa tarehe 6 mwezi Disemba 1978 mjini Dar es Salaam, Tanzania.

Ni Mwanamuziki , mfanyabiashara na aliwahi kushinda taji la malkia wa Urembo nchini Tanzania (2000).

Ni Mwanzilishi wa kampuni ya samani ilioshinda tuzo Amorette Ltd .

Babake alitoka kutoka eneo la Kigoma akiwa daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake huku mamake akiwa nesi.

Alisomea elimu yake ya msingi katika shule ya bweni ya Nyakahoja Primary mjini Mwanza kabla ya kuelekea mjini Dar es Salaam ambapo aliendelea na elimu yake ya msingi katika shule ya Forodhani.

Jackline ni msichana wa mwisho katika familia ya watoto watatu wa kike

Katika utoto wake alikuwa msichana mwenye haya jingi lakini alipendelea sana kusoma vitabu

Muziki
Alianza usanii 1997 akishirikiana na bendi ya Tanzania kwa jina the Tanzanites.

Aliimba kama mmojawapo wa viongozi kwa miaka mitatu.

Mnamo mwaka 2004 alitoa kibao chake 'Nalia kwa Furaha'.

Mwaka 2007 alitoa albamu nyengine kwa jina 'Crazy over You' ambacho kilikuwa kibao cha kwanza cha albamu yake mpya.

Anasema kwamba umaarufu wake ulianza alipoanza kuimba.

Kulingana na mjasiriamli huyo muziki ndio uliokuwa ndoto yake kubwa akiwa mtoto .

Alitizama kanda za video za wanamuziki tajika kama vile Mariah Carey na Whitney Houston ili kujifunza kuimba

Malkia wa urembo
2000 Alichaguliwa malkia wa Urembo nchini Tanzania baada ya kushinda taji la malkia wa urembo la miss Ilala.

Alitumikia taji la miss Tanzania kwa mwaka mmoja akizishughulikia jamii mbalimbali

Katika kushiriki katika shindano hilo alishawishiwa na mmoja wa waandalizi wa shindano hilo kujaribu bahati yake.

Katika shindano la dunia lililofanyika nchini Uingereza , alikutana na watu tofauti waliokuwa na malengo tofauti ambapo anadai kujifunza mambo mengi tofauti

Tuzo alizoshinda
2007: Alishinda tuzo ya mwanamuziki bora wa kike pamoja Tanzania na kolabo bora kupitia wimbo wake Crazy over you

2007: Alishinda tuzo ya Mwanamuziki bora kutoka Pearl Music Award

2008: Alishinda tuzo nyengine ya mwanamuziki bora wa Tanzania

2008: Alipata tuzo ya Mwanamuziki bora wa kike Tanzania kutoka Pearl Music Awards

2013: Alishinda taji la mwanamke mwenye mitindo bora katika tuzo za fesheni za Swahili

2017: Alijishindia tuzo ya shaba ya kimatifa kwa jina, Sayari amp,

2017: Alijishindia tuzo nyengine ya shaba katika orodha ya samani kwa jina Ngorongoro settee,

Ndoa
Mwaka 2015 alifunga ndoa na Bilionea wa Tanzania Reginald Mengi, na wamejaliwa watoto wawili wavulana .

Marehemu mumewe ni mwenyekiti wa makampuni ya IPP nchini Tanzania


BBC
"...Mama nurse baba ni Daktari bingwa ..."

( Matokeo yake nini..... )

Kuna profile yake nilipitia huko youtube inayoelezea kuwa wazazi wake walifariki akiwa young so huenda ndipo tatizo la ki-elimu lilipoanzia. Maana haikuelezwa kuwa ni mwaka gai wazazi wake walifariki kwa hiyo K-Lyn alikuwa ni yatima.
 
Huyu dada it happens atachukiwa na Watz forever from now on!

Sijui kwanini amejitahidi sana kujitutumua na Amorette and what not ila watu wanamkaushia tu!

Anapenda attention ninavyomuona ila always she will never be number one...

Amorrette was the big investiment ila sijui kwanini nobody cares or gives a shit...

Sijui kwanini anaonekana golddigger,I wonder why!

Anajitahidi sana aonekane self made entrepreneur,ila nobody gives a shit!

Its sad,limelight na power aliyokua anaitafuta sijui kwanini hakupata na hatakaa apate tena.

I really feel sorry for this over ambitions girl from Kigoma....

kuna wanaompenda pia usisahau!!

before Mengi alikuwa na maisha yake ya kitanzania kabisa


You sound real, ila nyuma ya pazia na wewe unamchuki huyu binti

kakufanya nini??...

fenicha zake watu mbona wananunua tu?
 
Hakuna mwenye uchungu,watu wana-state cha kweli kwamba dada kapata utajiri kwa njia fulani hivi!

Na sio vibaya hata kidogo...

Tulikua tunaweka record sawa tu,sasa watu wamedhani eti watu wana chuki.....

Hakuna!

msingi wa hoja zako za jack ni hapa kumbe

kama kaua kwa makusudi na alitembea na yule mlebanon, diamond n.k anastahili kuanikwa vibaya sana
 
Man, why would you feel sorry for someone with six digit bank account?

If she could proudly ride that old man's dick and kiss him in public, do you think she's gonna give two shits about what people think about her?

I bet she won't!
Fact
 
Dada alivo na mambo ya kizungu nlidhani ni msomi na degree yake..
Shule aliishia la saba au?
Hayo mambo ya kizungu hua ni mambo gani kwani?
Coz naona ni kama unasema inahitajika kua na degree ili kua na hayo mambo ya kizungu?
Yaani wa la 7 hawezi kua na hayo mambo ya kizungu? ni mambo gani hayo?

Nauliza tu ili nami nijue.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom