mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
mnamwonea gele mashamkunazi nyie
Nadhani hukuwaelewa. Elimu ilivyowekwa ni mpaka darasa la saba. Hata kama ana pesa zake haiondoi fact ya darasa alilofikia na haiondoi fact kwamba hana Degree. That is the fact. Na account yake hatuna hakika ina kiasi gani, tunachojua marehemu mume wake ndiye aliyekuwa na trillion of Shillings.Naona kuna mashindano ya degree na la saba hapa
Hebu wenye elimu kubwa muambatanishe na acc zenu hapa
Na yeye wa la saba wekeni alichonacho
Kukariri kunawafanya wengi warande rande
Povu
Sio wazungu wote wanami-degree.Dada alivo na mambo ya kizungu nlidhani ni msomi na degree yake..
Shule aliishia la saba au?
Nimeelewa vizuri sana hojaNadhani hukuwaelewa. Elimu ilivyowekwa ni mpaka darasa la saba. Hata kama ana pesa zake haiondoi fact ya darasa alilofikia na haiondoi fact kwamba hana Degree. That is the fact. Na account yake hatuna hakika ina kiasi gani, tunachojua marehemu mume wake ndiye aliyekuwa na trillion of Shillings.
Eti ras SimbaElimu inamaana ni la saba mwenzetu au alienda kumalizia kwa ras simba
mazazi wake kufanya kazi Kigoma hakuomuondolei nafasi ya Kabila lake, mfano mm nikifanya kazi Mtwara, hainifanyi mimi mwanangu kuwa mmakondeWale waliokuwa wanasema ni muhaya nao wanakuja na wasifu wake huyu Ntuyabhaliwe wa Manyovu!!
WigiHapana..mi naona ana damu ya kizungu huyu..
Hata nywele zake ni laini kama za wazungu
Wigi
Namaanisha tabia za kizungu..yani sio mswahili kama wengine,ulishwahi muona instagram anachambana huyu?Sio wazungu wote wanami-degree.
Sijawahi ona ma fenicha ya ovyo kama ya amorreteHuyu dada it happens atachukiwa na Watz forever from now on!
Sijui kwanini amejitahidi sana kujitutumua na Amorette and what not ila watu wanamkaushia tu!
Anapenda attention ninavyomuona ila always she will never be number one...
Amorrette was the big investiment ila sijui kwanini nobody cares or gives a shit...
Sijui kwanini anaonekana golddigger,I wonder why!
Anajitahidi sana aonekane self made entrepreneur,ila nobody gives a shit!
Its sad,limelight na power aliyokua anaitafuta sijui kwanini hakupata na hatakaa apate tena.
I really feel sorry for this over ambitions girl from Kigoma....
Sijawahi ona ma fenicha ya ovyo kama ya amorrete
kwani yy ni msengeHalafu yeye anasema ni "high-end" kwa ajili ya weathy customers only!
Not for everybody!
Yule dada bana!
Nampendea Insta tu anapiga picha kuliko msenge yeyote TZ hii,sijui muda anaupatia wapi!
kwani yy ni msenge
Hata Bahkresa hana shule, ila pesa sasa hata sisi wenye shule wajinga tuDada alivo na mambo ya kizungu nlidhani ni msomi na degree yake..
Shule aliishia la saba au?
Halafu yeye anasema ni "high-end" kwa ajili ya weathy customers only!
Not for everybody!
Yule dada bana!
Nampendea Insta tu anapiga picha kuliko msenge yeyote TZ hii,sijui muda anaupatia wapi!
Wa ukosefu wa nyanya mtaaniKuna mpasuko
Just give them straight with no corners. She's a gold digger plain and simple. She came out good and kudos to her. She won't cut it like other entrepreneurs as she has hasn't got the knowhow. Every time she opens her hamburger she sounds desperate for attention as if she's being victimised and typically using her kids to get her way. The Mengi's know this and the fight is not over...Hakuna chuki yoyote mzee ni just ku-state the obvious kuweka records sawa!
Hakuna cha ajabu mwanamke kupata mali kama golddigger....Its her pussy ana make good use of it!
Nothing wrong with that!
Ila uki-state the records watu wanachukia wanadhani mtu una chuki nae!