Wasifu wa Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi au Klynn

Bro

Women are emotional.....

They are not money hungrious like men....

And they are not emotionally strong like men either...

With their weaklings state of mind,no wonder those 6 figures bank account mean jack shit to her now.....

No I wonder her account is not that fat now,

Heard the don himself Mengi borrowed from the bank to go to Dubai hiyo juzi?

The bitch made our old man running on fumes ma nigga....

The bitch liquid wise is on her last legs mosdef!

Respect to Mengi,he is our hero and went with dignity and respect...

But this bitch's shady as fvck!

But I might be wrong too.....time will tell!
Who told u this shit ?
I wonder how enough the lame u are to believe this
 
Hahahaaa! yaani huyo Mjane naona kama anasemwa vibaya zaidi na wanawake wenzie!!

Kila mtu ana njia zake za kutoka kimaisha,huwezi kufanikiwa kwa kumchukia aliyekuzidi.
 
Usiku wa jana wala sijalala,
Ulichokifanya siwezi kusema,
Nasikitika si mara ya kwanza au mwenzangu umeshaamua,
Wasema chai ina chumvi, chakula hiki kina sisimizi, ni bora uwe mkwelii oooh.


Dah huyu manzi alikuwa vizuri sana...
 
Umeona clip ya Rachel Temu?
Hivi huyo binti ni msafi na hana machafu yake niliona yuko live anataja list ya waliokuwa na jack kimahusiano hadi kufika kwa mzee.
Hivi yeye mwenyewe hasa anajishughulisha na nini na ana umri gani?mara nyingi huwa naona kwenye page yake ni mtu wa matusi na kupiga mikwara Mingi.
 
Hahah hizi ndio nyuzi unazoweza ona namna Wamatumbi wanavyotema nyongo...

Mmatumbi we mpe kichwa cha habari tu...
 
Hapana..mi naona ana damu ya kizungu huyu..
Hata nywele zake ni laini kama za wazungu
We kweli mrugaruga/mporipori hujui fake hairs. Huyu mtanzania kamili. Sio mtusi. I know her in depth. Dada yake alisoma Tabora Girls na ni gynecologist
 
Kylin ni YATIMA.Labda ungeanza kuuliza kuwa mama yake na baba yake walikufa akiwa na umri gani.Labda hilo litakufanya uelewe kwa nini hakuendelea hadi kupata degree

Baba yake si kafariki juzi juzi tu hapa akiwa na huyo huyo marehemu!! Huyu hakuwa wa kusoma tangu hiyo primary. Inasemekana ilikuwa ni mwendo wa kusaka wanaume tu tangu enzi na enzi (wenyewe wanaita vichwa a.k.a madanga).
 
Hivi huyo binti ni msafi na hana machafu yake niliona yuko live anataja list ya waliokuwa na jack kimahusiano hadi kufika kwa mzee.
Hivi yeye mwenyewe hasa anajishughulisha na nini na ana umri gani?mara nyingi huwa naona kwenye page yake ni mtu wa matusi na kupiga mikwara Mingi.
Hana lolote zaidi ya kua mdangaji kama wengine,sema anaiga style ya Mange kujifanya mchambaji anaishi na Babu wa UN alikua Tz nafikiri sasa hivi amehamishiwa Nairobi ndo aliko maana anaishi nae hukoo...

Mange alimuapiza hatokaa aolewe nchi mpk Afe kuna kipindi alitolewaga barua na huyo baba Mange alitafuta mawasiliano ya mke wa huyo babu na wanawe akawatumia info zote na akawatag IG wote..ndoa ikaota mbaya!!!wana bifu na Mange alishawahi deportiwa US kwa wizi Alienda kusoma akakamatwa

Halafu ni mdogo wa Hoyce Temu wa mwisho ujue!!!
 
Man, why would you feel sorry for someone with six digit bank account?

If she could proudly ride that old man's dick and kiss him in public, do you think she's gonna give two shits about what people think about her?

I bet she won't!

It’s just too sad. Wanawake wa hivi ndio wanaanzaga na kuandika captions ndefuuuuu mitandaoni za inspirations eti ‘work hard sijui nini na nini’ wakati wao wamepata kwa njia za ushenzi. Unakuta na wanapita mashuleni kabisa eti inspirational speaker!!! ‍♀️
 
Kylin ni YATIMA.Labda ungeanza kuuliza kuwa mama yake na baba yake walikufa akiwa na umri gani.Labda hilo litakufanya uelewe kwa nini hakuendelea hadi kupata degree
Apoteze wazazi wote angali mdogo na isiwekwe kwenye wasifu! Inawezeka lisemwalo huyu ni mnyarwanda likawa sahihi
 
Huyu dada it happens atachukiwa na Watz forever from now on!

Sijui kwanini amejitahidi sana kujitutumua na Amorette and what not ila watu wanamkaushia tu!

Anapenda attention ninavyomuona ila always she will never be number one...

Amorrette was the big investiment ila sijui kwanini nobody cares or gives a shit...

Sijui kwanini anaonekana golddigger,I wonder why!

Anajitahidi sana aonekane self made entrepreneur,ila nobody gives a shit!

Its sad,limelight na power aliyokua anaitafuta sijui kwanini hakupata na hatakaa apate tena.

I really feel sorry for this over ambitions girl from Kigoma....

Akipata watu sahihi wakumpigania taswira yake itabadilika familia yake inabidi iungane naye more than ever.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom