Nyasiokatavi
Member
- Oct 20, 2019
- 31
- 31
Enzi za mzee wa privatization alikuwa ni Frontline kitengo.. product ya Mpanda kwa mizengo hii.
Aaaah . . kumbe, i believe spin doctors wa siasa za Tanzania wameshajua tatizo ni niniSijui tu kwakweli Arusha kuna shida Gani haswa mpaka wanapelekewa watu "wale wale" kila siku
Felix Kijiko aka Ntibenda
Fabian Daqaro
Na huyu Kimanta wooote wanatoka nyumba moja