Ndekrepha
JF-Expert Member
- Jun 4, 2020
- 1,506
- 2,664
Kashitaki mkuu
Nikashitaki nini? Kwa nani?
Kashitaki mkuu
nenoArusha watu wana jielewa. Ntibenda kwakweli aliiwezea Arusha. Amani na utulivu uliopo Arusha uli letwa na huyu baba. Fitna za Gambo kutamani madaraka zika muondoa baba wa watu. Gambo akaja kuvuruga baada ya kuaminiwa na baba
Hapana, Sumbawanga!Mchaga wa Marangu.
Wasifu wake sio muhimu kwa sasaivi. Arusha inahitaji mtu mwerevu na mwenye busara na hekima za kutoshaWadau kwa anayefahamu CV yake RC wa Arusha, Iddi Kimanta kabla ya hapo inafahamika alikuwa Mkuu wa Wilaya Monduli. Zaidi ya hapo wakuu ili tumfahamu vizuri maana arachuga ni jiji kubwa na lina Mambo mengi, ni vizuri tukamjua kiongozi wetu.
Ww ni mkabila sanaHuyu ni kabila gani?
Sio kweliMchaga wa Marangu.
Nadhani ni mbembe wa rukwaWw ni mkabila sana
Nyumba gani tena?Hahahahaa hamna kitu
Sijui tu kwakweli Arusha kuna shida Gani haswa mpaka wanapelekewa watu "wale wale" kila siku
Felix Kijiko aka Ntibenda
Fabian Daqaro
Na huyu Kimanta wooote wanatoka nyumba moja
Mbende kutoka RukwaHuyu ni kabila gani?
Wapi?Mbona anaonekana ni mtu kutoka kitengoni pale.
Nipe somo kiongoziHuhitaji kuwa na Saikolojia Kubwa mno kama ya Wabobezi kuweza kujua Mhusika ni Mtu Maalum na amewekwa hapo kwa Kazi hiyo Maalum pia.
Sio kweli
ni MBOBEZI mzoefu ..kama alivyokuwa Kijiko.....Wadau kwa anayefahamu CV yake RC wa Arusha, Iddi Kimanta kabla ya hapo inafahamika alikuwa Mkuu wa Wilaya Monduli. Zaidi ya hapo wakuu ili tumfahamu vizuri maana arachuga ni jiji kubwa na lina Mambo mengi, ni vizuri tukamjua kiongozi wetu.
ni MBOBEZI mzoefu ..kama alivyokuwa Kijiko.....
Gambo alimchomeka demu wake Catherine kwa Kijiko wakammaliza ...nadhani huyu atakuwa mjanja kujiweka mbali na mashangingi wa ccm Arusha
Mbende kutoka Rukwa
umepatiaMi nilijua ni mtoto wa kimata alikuwaga mwenyekiti wa halmashauri ya mbarali miaka ya tisini mzee kimata wa igawa kama sijakosea .
Nipe somo kiongozi
Lema hajamkaribisha huyu kwa zile kauli zake alizozitumia kwa Gambo?