Wasifu wa Iddi Kimanta, Mkuu wa Mkoa mpya Arusha

Wasifu wa Iddi Kimanta, Mkuu wa Mkoa mpya Arusha

Mbende kutoka Rukwa
Kweli ni Mbembe, lakini anatokea Katavi. Ni mtu wa katibu sana na Mizengo Pinda. Amewahi kuwa mkuu wa wilaya ya Nkasi kwenye utawala wa Jk kabla ya kuhamishiwa Monduli Magu alipoingia madarakani. Ana kiwango Fulani cha busara ila ni mwoga kufikia maamuzi. Ni msikilizaji mzuri na labda Arusha itatulia maana si mtu wa maonesho.
 
Kweli ni Mbembe, lakini anatokea Katavi. Ni mtu wa katibu sana na Mizengo Pinda. Amewahi kuwa mkuu wa wilaya ya Nkasi kwenye utawala wa Jk kabla ya kuhamishiwa Monduli Magu alipoingia madarakani. Ana kiwango Fulani cha busara ila ni mwoga kufikia maamuzi. Ni msikilizaji mzuri na labda Arusha itatulia maana si mtu wa maonesho.
Sio mbembe ni Mbende mkuu
 
Basi akaribie arusha mjini mana kutoka monduli mpaka a town 1200 tu nauli
 
Hahahahaa hamna kitu

Sijui tu kwakweli Arusha kuna shida Gani haswa mpaka wanapelekewa watu "wale wale" kila siku

Felix Kijiko aka Ntibenda
Fabian Daqaro
Na huyu Kimanta wooote wanatoka nyumba moja
Huyo alikua hovyo huko monduli,ubabe wa kijinga
 
Huyo kimanta ni mtu muadilifu sana
Alikua ni mlinzi wa karibu sana wa Rais Mkapa
 
Mkuu itawezekana kweli wakati wewe mwenyewe unatumia simu ya shemeji yako?

Hahah hilo ndio tatizo lako. Unayopitia wewe sio kwamba ndio formal life kwamba kila mtu anapitia njia hiyo. Weka namba upate bando kijana.
 
Back
Top Bottom