Wasifu wa GRAYSON NYAKARUNGU...

asikusumbue hana hoja za maana,tupo nae pale mzumbe, kwa kifupi jamaa ni kibaraka wa management ya chuo.hata pale chuoni si mmoja ya wapambanaji wanaosukuma agenda za chadema. anatafuta kick. ni mmoja wa vijana wanaounda mtandao wa PM7. cha kujiuliza kwanini anaibuka sasa? ukisoma waraka wake uliojaa siasa mufilisi utabaani upeo wake mdogo
 

Tumesikia kelele, jiwe limerushwa gizani naona limekupata mkuu, pole sana kama vipi tuambie wewe ndiwe weremæ? au unatokea kwenye hiyo nyuma, tutajie na kachumba.
 
Acha uongo wewe.......si kweli, labda mzumbe kaenda mwaka huu. Ni nesi alikuwa Mwanza Halmashauri akawa anadanganya watu ni Daktari, lkn ni mganga njaa anayeweza kununuliwa hata kwa bei rahisi, hana kipato

sasa ww unabisha nini? huyu jamaa nikweli anajiendeleza pale mzumbe ya moro nandio spika wa bunge la wanafunzi,walimchomoa kwenye kugombea u-prezedaa. Nachompendea anajua kulazimisha umaarufu ambao hana.
 
Anasoma yale masomo ya tuition nini? kwa taarifa yako namfahamu vyema na unayekoment itakuwa ni wewe mwenyewe Nyakarungu hata andika yako ni ile ile. So kataa, hujawahi kuwa nesi? ama niweke picha zako ukiwa nesi?

Mimi simfahamu sana huyu ndugu zaidi ya kuwa mwanajumuiya ya mzumbe, kama ni kweli alikuwa nesi siwezi kubisha hata hiyo kozi anayesoma inamahusiano na mambo ya afya (HSM-HEALTH SERVICE MANAGEMENT).
 
eti anatoa agizo kuwa Chadema wawarudishie vyeo akin a zito ha ha akakakurya kamgumu kumbe no kaajabu Sana akajui kuwa ndo kanazidi kuwaharibia Hawa wasaliti?
 
Anatafuta pakutokea. Tell him atafute status ndo impe umaarufu, asianze na umaarufu ataolewa bure kabla ya wakati
 
Tumesikia kelele, jiwe limerushwa gizani naona limekupata mkuu, pole sana kama vipi tuambie wewe ndiwe weremæ? au unatokea kwenye hiyo nyuma, tutajie na kachumba.

Binadamu hapangi kuzaliwa vipi au wapi na wazazi wake. Ni kweli nimeguswa sababu naona watu wanadhihaki tamaduni zetu hata kama tumeachana nazo. JITAMBUE
 
eti anatoa agizo kuwa Chadema wawarudishie vyeo akin a zito ha ha akakakurya kamgumu kumbe no kaajabu Sana akajui kuwa ndo kanazidi kuwaharibia Hawa wasaliti?

jadili hoja mkuu,,mahala alipotoka muhusika wala kabila lake havina umuhimu wowote kwa maendeleo ya nchi hii. Pinga hoja tu inatosha mkuu.JITAMBUE
 
ukabila huanza hivi hivi,,haya si mambo ya kuchekesha,,ni ya kukemea. Tusigawane au kunyoosheana vidole vya ukabila. Ni hatari sana watu wanapobeza tamaduni za wenzao ndani ya nchi hiyo hiyo..hatari sana.

Na hoja kubwa ya akina nyakarungu and the like kuwa CDM imeshikiliwa na wachagga, ni chama cha kaskazini, nk sijui kama umeikemea? Wakati wanasema hayo, CCM inao wanachama na washabiki wanaotoka kaskazini na ambao ni wachagga - sijui hawa wanajisikiaje wanaposikia hoja mfu kama hizo za akina MM, M1, M2, M3, M4 - M99?
 

Ha ha ha! JF Rocks....!
 

Acha ujinga mura, nani hapo kasema wote watokao mara ni nyumba ntobhu? Kuna mila za kipuuzi sana ambazo zipo huku mf ukeketaji na kurithi wajane ikiwemo na hyo nyumba ntobhu kwa hyo wote wanaokemea ni wakabila? wacha kujitoa ufahamu. Kamakweli unajielewa weka maana ya nyumba ntobhu hapo chn wenye akili waone kama ni mila nzuri au matope kama wewe.
 

nyumba ntobhi ni mwanamke kumuoa mwana mk e mwenzake
 
Dahh, wakurya wabomoe hizo nyumba haraka hazifai kabisa.
 
bado hajawa na cv,huwezi kuwa na cv ilhali bado ni zero
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…