Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Ni mzaliwa wa Wilaya ya ludewa kijiji cha Luana
Amezaliwa katika familia maskini
babake alikuwa na wake wawili
babake alikuwa anafanya kazi Njombe kabla hajastaafu na kuhamia Ludewa
baba anaishi Ludewa mtaa wa Mji mwema
Deo amejenga Ludewa mtaa wa Ibani
Kwa DSM anaishi kwenye nyumba ya kupanga eneo la mtoni kijichi kanisani
ana mke na watoto wawili
Asante sana mkuu. Ndiyo maana ana uchungu na hii nchi. Anajua maana ya kulala njaa, kula mlo mmoja kwa siku, shida ya huduma za afya, maji, you name all. Huyu ndo kama sisi enzi hizo unaenda shule peku bila hata katambuga. Halafu leo wachache wanatumaliza.